Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye
Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru amemshukia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kwa kauli zake alizodai zinaminya demokrasia na kwamba CCM haiwezi kusimama wanapopambana wenyewe kwa wenyewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Msekwa amtolea uvivu Kingunge
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi
MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda, Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mnyika amtolea uvivu Prof Muhongo
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s72-c/lipumba.jpg)
Makame amtolea uvivu Prof. Lipumba
Na Mwandishi Wetu, Pemba
CHAMA cha Allience for Democratic Change (ADC), kimemtaka Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, asiishie kudai kuvunjwa mkono na polisi, badala yake akiri kuwa alijiunga na chama hicho kwa lengo kutafuta madaraka na njia ya kuingia Ikulu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CD700OJh8jA/VAcU5Kjv1nI/AAAAAAAABnM/YinkOM0QoGw/s1600/lipumba.jpg)
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Uenezi na Habari wa ADC, Ali Makame,...
10 years ago
Habarileo27 Oct
Shein amtolea uvivu Maalim Seif
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameelezea kushangazwa na tabia ya vyama vya upinzani kususia mchakato wa Katiba wakati ndio waliokuwa mstari wa mbele kulilia uwepo wa Katiba mpya. Aidha, ameelezea kushangazwa na msimamo wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuikataa Katiba Inayopendekezwa, ilhali mambo anayoyalilia yamo katika katiba hiyo.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Urais 2015: Malecela amtolea uvivu Lowassa
10 years ago
TheCitizen10 Jul
Kingunge: CCM top officials’ silence over Nnauye remarks worrying
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s72-c/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Mahojiano na Nape Nnauye Pt II
![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s640/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s72-c/nape1.jpg)
TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s400/nape1.jpg)
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...