Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye

Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru amemshukia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kwa kauli zake alizodai zinaminya demokrasia na kwamba CCM haiwezi kusimama wanapopambana wenyewe kwa wenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Msekwa amtolea uvivu Kingunge

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amemrushia kombora kada mkongwe wa chama hicho, Kingunge Ngombale-Mwiru kuwa, hazijui vyema kanuni zinazoongoza mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho tawala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi

MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa  siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda,  Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika amtolea uvivu Prof Muhongo

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, John Mnyika, amemjia juu mjumbe mwenzake, Profesa Sospeter Muhongo kwa kile alichodai kutaka kuharakishwa upitiaji wa rasimu za kanuni.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Makame amtolea uvivu Prof. Lipumba


Na Mwandishi Wetu, Pemba
CHAMA cha Allience for Democratic Change (ADC), kimemtaka Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, asiishie kudai kuvunjwa mkono na polisi,  badala yake akiri kuwa alijiunga na chama hicho kwa lengo kutafuta madaraka na njia ya kuingia Ikulu.
Kimesema kuwa Profesa Lipumba ni mfano wa wanasiasa wenye uchu wa madaraka na kwamba, hakuwa na dhamira ya kujiunga na upinzani, bali ilikuwa kuwania urais.
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Uenezi na Habari wa ADC, Ali Makame,...

 

10 years ago

Habarileo

Shein amtolea uvivu Maalim Seif

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameelezea kushangazwa na tabia ya vyama vya upinzani kususia mchakato wa Katiba wakati ndio waliokuwa mstari wa mbele kulilia uwepo wa Katiba mpya. Aidha, ameelezea kushangazwa na msimamo wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwa kuikataa Katiba Inayopendekezwa, ilhali mambo anayoyalilia yamo katika katiba hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Urais 2015: Malecela amtolea uvivu Lowassa

>Vita ya urais kupitia CCM inazidi kushika kasi baada ya Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, John Malecela kuutaka uongozi kumchukulia hatua Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa kuanza mapema kampeni.

 

10 years ago

TheCitizen

Kingunge: CCM top officials’ silence over Nnauye remarks worrying

“What is the meaning of this silence? I know most of them are aware that these announcements are not in line with our party’s principles and could be very divisive. In the Nyerere era, Mr Nnauye would have been kicked out,” said Mr Ngombale-Mwiru.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Nape Nnauye Pt II

Karibu katika sehemu hii ya pili na ya mwisho ya mahojiano yetu na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika serikali ya awamu ya tano.
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani