Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahojiano na Nape Nnauye Pt II

Karibu katika sehemu hii ya pili na ya mwisho ya mahojiano yetu na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika serikali ya awamu ya tano.
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...

 

9 years ago

Mwananchi

Nape Nnauye anusurika kifo ajalini

Mgombea ubunge Jimbo la Mtama kupitia CCM, wilaya na mkoa wa Lindi, Nape Nnauye (38) amenusurika kifo, baada ya gari aliyokuwa akiendesha kuacha barabara na kupinduka, wilayani Kilwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye

Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru amemshukia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kwa kauli zake alizodai zinaminya demokrasia na kwamba CCM haiwezi kusimama wanapopambana wenyewe kwa wenyewe.

 

11 years ago

Mtanzania

Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye

Jaji Joseph Warioba

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba

SHABANI MATUTU NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM

KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana kuwa mwanasiasa huyo anasubiri kuhukumiwa na nguvu ya umma.

Jana vyombo vya habari vilimkariri Nape...

 

9 years ago

Vijimambo

NAPE NNAUYE ASHINDA UBUNGE JIMBO LA MTAMA

Nape Nnauye
Katibu wa Itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye ameshinda kiti cha Ubunge jimbo la Mtama, jimbo lililokua chini ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe.
Nape Nnauye ameweza kushinda kwa jumla ya kura 28,110, Methew mgombea wa CHADEMA amepata kura 13,918 na Mchinjika wa CUF amepata kura 10,547

 

10 years ago

IPPmedia

CCM Ideology and Publicity secretary, Nape Nnauye


IPPmedia
CCM Ideology and Publicity secretary, Nape Nnauye
IPPmedia
Contray to people's anticipation, the Central Committee of the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) is in favour of the Constituent Assembly (CA) continuing with its proceedings in Dodoma.Before the CC meeting, there have been outcries from different groups ...
CCM happy with Katiba processDaily News

all 3

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist akimkaribisha Katibu Mwenezi wa CCM na Mbunge Mteule wa Jimbo la Ntama, Nape Nnauye. ...Akitoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Global Publishers. Mwandishi wa Global Publishers, Brighton Masalu akimuuliza swali Nape Nnauye.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani