Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
SHABANI MATUTU NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana kuwa mwanasiasa huyo anasubiri kuhukumiwa na nguvu ya umma.
Jana vyombo vya habari vilimkariri Nape...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s72-c/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Mahojiano na Nape Nnauye Pt II
![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s640/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s72-c/nape1.jpg)
TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s400/nape1.jpg)
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Nape Nnauye anusurika kifo ajalini
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nUOxkgVjY2U/default.jpg)
10 years ago
IPPmedia21 Aug
CCM Ideology and Publicity secretary, Nape Nnauye
IPPmedia
IPPmedia
Contray to people's anticipation, the Central Committee of the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) is in favour of the Constituent Assembly (CA) continuing with its proceedings in Dodoma.Before the CC meeting, there have been outcries from different groups ...
CCM happy with Katiba processDaily News
all 3
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/NAPE-2.jpg?width=650)
NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
9 years ago
Vijimambo26 Oct
NAPE NNAUYE ASHINDA UBUNGE JIMBO LA MTAMA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/75f2NapeNnauye.jpg)
Katibu wa Itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye ameshinda kiti cha Ubunge jimbo la Mtama, jimbo lililokua chini ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe.
Nape Nnauye ameweza kushinda kwa jumla ya kura 28,110, Methew mgombea wa CHADEMA amepata kura 13,918 na Mchinjika wa CUF amepata kura 10,547