TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9dzE_k0UHw/VmrMfMhYWnI/AAAAAAAILp4/tlBLnSM5ODs/s72-c/nape1.jpg)
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika serikali ya awamu ya tano.
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s72-c/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Mahojiano na Nape Nnauye Pt II
![](http://1.bp.blogspot.com/-Llo8QHBsp9g/VWLXkBsYN-I/AAAAAAAAIr8/A6Q-7A8kwJs/s640/Nape%2Bna%2BBandio.jpg)
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
TFF yampongeza Mkwasa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ kwa kupata nafasi ya kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van Pluijm katika...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
TFF yampongeza Tenga
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
SHABANI MATUTU NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana kuwa mwanasiasa huyo anasubiri kuhukumiwa na nguvu ya umma.
Jana vyombo vya habari vilimkariri Nape...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Nape Nnauye anusurika kifo ajalini
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/NAPE-2.jpg?width=650)
NAPE NNAUYE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
IPPmedia21 Aug
CCM Ideology and Publicity secretary, Nape Nnauye
IPPmedia
IPPmedia
Contray to people's anticipation, the Central Committee of the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) is in favour of the Constituent Assembly (CA) continuing with its proceedings in Dodoma.Before the CC meeting, there have been outcries from different groups ...
CCM happy with Katiba processDaily News
all 3