salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s72-c/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
Uongozi wa Michuzi Media Group na watendaji wote unawatakia wadau wa Globu ya Jamii kila pembe ya dunia PASAKA njema. Furaha yenu ndio furaha yetu, na BWANA awabariki afya njema.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5820S8kBq4g/VI56J9FBW-I/AAAAAAAG3QY/_p-uhnNxENM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
taswira za jiji la tanga toka kwa mdau wa globu ya jamii
![](http://3.bp.blogspot.com/-5820S8kBq4g/VI56J9FBW-I/AAAAAAAG3QY/_p-uhnNxENM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iPE4m-8SDP8/VI56JgrP6EI/AAAAAAAG3QU/-z_jKdYc_jE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z6OWTLwNi2s/VI56Kvsv8qI/AAAAAAAG3Qk/9QeL3rW0rfE/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D2yf8d-amzM/VI56Pq_jmPI/AAAAAAAG3Q0/X99eRglb0jE/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-co2Gc1pIqhI/VI56OEydfdI/AAAAAAAG3Qs/PcQO5gr6tmM/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1IipSoU0L34/VI56Sfv7YAI/AAAAAAAG3Q8/eZpddOQ9LWo/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5QTXLf6K2To/VI56VplfptI/AAAAAAAG3RE/YpS0gfYyoNU/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N-97dF8pe8Q/VI56XwcWe1I/AAAAAAAG3RM/8HYDLvEftwY/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake lijulikane. Pia tunakaribisha aina...
10 years ago
Michuziankal agongana na wadau wa globu ya jamii dubai
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_uzzCsCX5t4/VXVR2dkFNBI/AAAAAAAHc_w/DU-Kizio60Y/s72-c/20150608012617.jpg)
Ankal na Wadau wa Globu ya Jamii, The Hague, Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-_uzzCsCX5t4/VXVR2dkFNBI/AAAAAAAHc_w/DU-Kizio60Y/s640/20150608012617.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tc77FlY_YEA/VXVR2W4XH-I/AAAAAAAHc_s/cgzWWr6BVPk/s640/201506080.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-znFXBQZ8sEQ/VDD3QN-So8I/AAAAAAAGn9Y/chwkrKO-cmA/s72-c/Eid-Al-Adha-2014-03-1024x768.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcLJr-WfHxWZH8abop0gUOOWaWQNC6LU22mZL-mdfWJxkfb7jJjS*pwQ2vFoL20PHswtsNSeNkcm-HwibxiR1pbZ/CCM.jpg)
SALAMU ZA PASAKA 2014 TOKA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA
Chama Cha Mapinduzi- London – Uingereza kinaridhia Salaam za CCM Makao Makuu kuungana na Wakristo- Watanzania na Ulimwenguni kote kuwatakia kila la kheri na fanaka katika kusherehekea Sikuu Kuu ya PASAKA 2014. Aidha CCM UK inayo imani kubwa kuwa Sherehe hii ya Pasaka itakuwa kigezo cha kuwakaribisha Watanzania wa Imani zote kujitazama kwa wongufu na kuridhia misingi mikuu ya Uhuru, Muungano wetu na Umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s72-c/tzNIC2.png)
Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote
Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona.
Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s640/tzNIC2.png)
Badala ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania