Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote

Uongozi wa Michuzi Media Group na watendaji wote unawatakia wadau wa Globu ya Jamii kila pembe ya dunia PASAKA njema. Furaha yenu ndio furaha yetu, na BWANA awabariki afya njema.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

taswira za jiji la tanga toka kwa mdau wa globu ya jamii

 Ankal pokea taswira hizi kutoka jiji la Tanga ushee na wadau. Hapa ni Tanga Yatch Club ambayo mandhari yake ni tamu kweli kama unavyojionea Mandhari ya ufukwe wa jiji la Tanga Tanga Yatch Club Bustani mwanana inayofadhiliwa na  Mkonge hotel ndiyo Kilimanjaro hotel yetu Karibu Tanga Moja ya shule kongwe na maarufu sana jijini Tanga Gereji yetu kuu.
Globu ya Jamii inamshukuru na kumpongeza sana mdau huyu kwa taswira hizi nzuri. Bahati mbaya hapendi jina lake  lijulikane. Pia tunakaribisha aina...

 

10 years ago

Michuzi

ankal agongana na wadau wa globu ya jamii dubai

Ankal akiwa na wadau wa Globu ya Jamii aliogongana nao Dubai. Anawashukuru kwa kuwa wadau wa Globu hii kwa muda mrefu na kwamba wao na wengine wote kila pembe ya dunia ni watu muhimu sana sana kwake...

 

10 years ago

Michuzi

Ankal na Wadau wa Globu ya Jamii, The Hague, Uholanzi

Ankal (wa pili shoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Globu ya Jamii jijini The Hague, Uholanzi, leo. 

 

11 years ago

GPL

SALAMU ZA PASAKA 2014 TOKA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA

Chama  Cha Mapinduzi- London – Uingereza  kinaridhia Salaam za CCM Makao Makuu kuungana na Wakristo- Watanzania na Ulimwenguni kote  kuwatakia kila la kheri na fanaka katika kusherehekea Sikuu Kuu ya PASAKA 2014. Aidha CCM UK  inayo imani kubwa kuwa Sherehe hii ya Pasaka itakuwa kigezo cha kuwakaribisha Watanzania wa Imani zote kujitazama kwa wongufu na kuridhia misingi mikuu ya Uhuru, Muungano wetu na Umoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote

Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii  ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...

 

10 years ago

Michuzi

SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI


Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani