Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-FoJqCDCJxu0/VVxVAkwKMAI/AAAAAAAC42I/aSWzLot-0F0/s72-c/tzNIC2.png)
Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Pata Domain yako ya .tz kwa Bei Poa
Shirika la tzNIC ni shirika la kitanzania, linalo endeshwa na watanzania ila lisilo la kiserikali. tzNIC inakuwezesha kusajili domain ya tovuti yako ya .tz. Na hivyo basi tzNIC kwakuwa asasi isiyo ya kutafuta faida bei zao ni ndogo sana hivyo kukuwezesha Mtanzania wa kawaida kabisa kuwa na domain ya .tz. Hivyo pale unapo taka kusajili domain ambayo inaishia na .tz hawa ndio wahusika wakuu ambao wametoa vibali kwa wasajili zaidi ya 43 ambao wako Tanzania nzima. Lengo kuu la tzNIC ni kukuza...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).
Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s72-c/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s1600/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
11 years ago
Habarileo11 Aug
‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Kwa nini shirika la afya duniani linasema hatua ya kujishika uso ni hatari kwa maisha yako?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_aCOCRSQH74/VOgxOAK45xI/AAAAAAAHE3w/EbHG6lVmvvA/s72-c/productoverview.jpg)
Tambua Fursa ya Biashara na Umuhimu wa Trevo kwa Afya Yako
![](http://4.bp.blogspot.com/-_aCOCRSQH74/VOgxOAK45xI/AAAAAAAHE3w/EbHG6lVmvvA/s1600/productoverview.jpg)
10 years ago
Michuzi22 Jul
Unayo sababu ya kumiliki Website bora kwa Biashara yako
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rvc24NE3VhtyiRMqiT11mIp2fa2SQutfnz9pDLgbQy7y-bBnByI0ctHVXfkyQRJSuItOwiWN_2ddG3PF=s0-d-e1-ft#https://dudumizi.com/images/google.jpg)