Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’

MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KUTONGOZA KWA KUJISIFU, WANAWAKE HAWAPENDI KUSIKIA

NI Jumanne tena jamani! Wapenzi wasomaji wa safu yangu hii ya maisha na mapenzi tunakutana tena huku nikisema nawapenda sana.

Mada yetu ya leo ni kujisifu, wanawake hawapendi kusikia. Hii ni mada pana kidogo ambayo wanaume ni walengwa wakubwa lakini wenyewe hawajui.

KABLA YA MADA
Kabla ya mada nachukua nafasi hii kusema kuwa, mara zote ninapoandika jambo f’lani huwa nafanya uchunguzi wa kina kwanza kwa wahusika wachache ambapo hesabu za haraka huniambia ukweli unakuwa wapi!

TURUDIE MADA
Wiki...

 

11 years ago

Michuzi

salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote

Uongozi wa Michuzi Media Group na watendaji wote unawatakia wadau wa Globu ya Jamii kila pembe ya dunia PASAKA njema. Furaha yenu ndio furaha yetu, na BWANA awabariki afya njema.

 

10 years ago

Michuzi

Sajili Domain ya biashara yako kwa Dot TZ (.tz) na uweze kuonekana duniani kote

Domain ni Nini? Ikiwa kuna mtu anataka kutembelea tovuti/website yako (kama wewe ulivyotembelea website hii) atahitaji kutumia domain yako au kwa kuiandika moja kwa moja au kupitia link kutoka kwenye search engine ili kuweza kuiona. Kompyuta huwasiliana kwa kutumia namba zinazoitwa anwani ya IP (IP Address). Hii  ni sawa na unavyo tumia namba ya simu fulani kuwasiliana na fulani. Jina la domain katika mtandao ni kama jina linaloendana na namba husika za simu katika simu yako.
Badala ya...

 

11 years ago

Bongo5

Meck Khalfan: Mtanzania aliyebuni charger za Puku zinazonunuliwa kama njugu duniani kote!!

Meck Khalfan Mbwana ni Mtanzania aliyezaliwa na kukulia Tanzania lakini kwenda Marekani kuendelea na masomo huko. Kutokana na kimbunga cha Sandy mwaka 2012 kilichoathiri wakazi wengi wa jijini New York akiwemo yeye mwenyewe aliamua kubuni kitu ambacho kingekuja kubadilisha maisha ya wengi katika teknolojia. Mbwana anasema wakati kimbunga hicho kinatokea, alikuwa na mtoto wa miezi […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC

Watu bilioni moja huenda wakaambukizwa virusi vya corona kote duniani na mambo pengine yabadilike, nchi zisizojiweza zinahitaji usaidizi wa haraka Shirika la kutoa msaada limeonya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani

Tunaangazia siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kuanzi jinsi siku hii muhimu iliyobuniwa zaidi ya karne moja ilyopita.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wasomi tusijipendekeze kote kote, tutaanguka

Mhadhara huu utajikita kwenye mjadala juu ya mambo ambayo yanafaa kuzungumziwa na kubishaniwa kat

Issa Shivji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani