KUTONGOZA KWA KUJISIFU, WANAWAKE HAWAPENDI KUSIKIA
NI Jumanne tena jamani! Wapenzi wasomaji wa safu yangu hii ya maisha na mapenzi tunakutana tena huku nikisema nawapenda sana.
Mada yetu ya leo ni kujisifu, wanawake hawapendi kusikia. Hii ni mada pana kidogo ambayo wanaume ni walengwa wakubwa lakini wenyewe hawajui.
KABLA YA MADA
Kabla ya mada nachukua nafasi hii kusema kuwa, mara zote ninapoandika jambo f’lani huwa nafanya uchunguzi wa kina kwanza kwa wahusika wachache ambapo hesabu za haraka huniambia ukweli unakuwa wapi!
TURUDIE MADA
Wiki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Aug
‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUlNg8JktmQFp6ElSrvtpsm4uu1v5Nf1Cv8hFpMD86kg0RZs1QPOcs4Ubbzbw1Oroy37VUpdQr7qXmb4XrUi0BE/mahaba.jpg?width=650)
HUWEZI KUTONGOZA? SIMU YAKO INAWEZA KUKUSAIDIA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s72-c/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s640/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gVVcB5HIxEI/VbeU1Rm0pzI/AAAAAAAAyjA/GOUlXjUPeDA/s640/Kikwete-Tweet-e1438079537317.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7Sc1M_OrXJk/VPCERP_ctEI/AAAAAAABUV8/URz6CZEsZnc/s72-c/3.jpg)
UTT YATOA SEMINA YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Sc1M_OrXJk/VPCERP_ctEI/AAAAAAABUV8/URz6CZEsZnc/s1600/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Vijana hawapendi kujituma
KTIKA miaka ya hivi karibuni vijana wengi wenye umri wa kujitegemea wamekuwa wakiishi na wazazi wao kwa kuogopa kupanga kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo. Kuendelea kuishi na wazazi baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Vijana hawapendi kujituma — 2
WIKI iliyopita nilizungumzia vijana wenye umri wa kujitegemea kuendelea kuishi na wazazi wao kutokana na ugumu wa maisha uliopo. Leo nitaendelea na mada hiyo huku nikizungumzia jinsi gani kijana anayekaa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
‘Madereva vijana hawapendi kufunga mikanda’
IMEBAINIKA kuwa idadi kubwa ya waendesha magari vijana hawafungi mikanda hivyo kuwafanya kuwa waathirika wakubwa wa ajali za barabarani ambazo zingeweza kuepukika. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Carmudi...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kwanini watu hawapendi kupiga kura?
TUMESHUHUDIAuchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa na...
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake
Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...