Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTONGOZA KWA KUJISIFU, WANAWAKE HAWAPENDI KUSIKIA

NI Jumanne tena jamani! Wapenzi wasomaji wa safu yangu hii ya maisha na mapenzi tunakutana tena huku nikisema nawapenda sana.

Mada yetu ya leo ni kujisifu, wanawake hawapendi kusikia. Hii ni mada pana kidogo ambayo wanaume ni walengwa wakubwa lakini wenyewe hawajui.

KABLA YA MADA
Kabla ya mada nachukua nafasi hii kusema kuwa, mara zote ninapoandika jambo f’lani huwa nafanya uchunguzi wa kina kwanza kwa wahusika wachache ambapo hesabu za haraka huniambia ukweli unakuwa wapi!

TURUDIE MADA
Wiki...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’

MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.

 

11 years ago

GPL

HUWEZI KUTONGOZA? SIMU YAKO INAWEZA KUKUSAIDIA

NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha tena nawe msomaji wangu katika busati la mashamsham. Ni siku nyingine nzuri tunapokutana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na leo, napenda kujadili na wewe msomaji wangu juu ya hili suala nililolitambulisha hapo juu. Maendeleo ya teknolojia yamebadilisha mambo mengi katika maisha yetu ya kila siku. Zamani ilikuwa kama kuna mwanamke au mwanaume unampenda, basi lazima...

 

10 years ago

Vijimambo

TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI


While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.

 

10 years ago

Michuzi

UTT YATOA SEMINA YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA

Ofisa Masoko Mwandamizi kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT, Martha Mashiku akitoa semina kuhusu uwekezaji wa pamoja kwenye Masoko ya fedha. Akizungumza na washiriki wa semina hiyo Mashiku alisema kuwa kazi kubwa inayofanya na UTT ni kuwawezesha watanzania wote wenye vipato tofauti kushiriki kwenye masoko ya fedha, kwa kujiwekea akiba taratibu huku pesa inawekezwa kwenye masoko ya fedha na mitaji. Ofisa huyo alisema UTT imekusudia kutoa elimu kwa makundi mbali mbali ya jamii ili watambue...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana hawapendi kujituma

KTIKA miaka ya hivi karibuni vijana wengi wenye umri wa kujitegemea wamekuwa wakiishi na wazazi wao kwa kuogopa kupanga kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo. Kuendelea kuishi na wazazi baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana hawapendi kujituma — 2

WIKI iliyopita nilizungumzia vijana wenye umri wa kujitegemea kuendelea kuishi na wazazi wao kutokana na ugumu wa maisha uliopo. Leo nitaendelea na mada hiyo huku nikizungumzia jinsi gani kijana anayekaa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Madereva vijana hawapendi kufunga mikanda’

IMEBAINIKA kuwa idadi kubwa ya waendesha magari vijana hawafungi mikanda hivyo kuwafanya kuwa waathirika wakubwa wa ajali za barabarani ambazo zingeweza kuepukika. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Carmudi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini watu hawapendi kupiga kura?

TUMESHUHUDIAuchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya Akina Mama Duniani zilizofanyika.

Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani