‘Madereva vijana hawapendi kufunga mikanda’
IMEBAINIKA kuwa idadi kubwa ya waendesha magari vijana hawafungi mikanda hivyo kuwafanya kuwa waathirika wakubwa wa ajali za barabarani ambazo zingeweza kuepukika. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Carmudi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Vijana hawapendi kujituma
KTIKA miaka ya hivi karibuni vijana wengi wenye umri wa kujitegemea wamekuwa wakiishi na wazazi wao kwa kuogopa kupanga kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo. Kuendelea kuishi na wazazi baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Vijana hawapendi kujituma — 2
WIKI iliyopita nilizungumzia vijana wenye umri wa kujitegemea kuendelea kuishi na wazazi wao kutokana na ugumu wa maisha uliopo. Leo nitaendelea na mada hiyo huku nikizungumzia jinsi gani kijana anayekaa...
10 years ago
Vijimambo10 Nov
MABONDIA IBRAHIMU TAMBA NA JULIUS KISARAWE WANYAKUWA MIKANDA YA TPBO
10 years ago
Vijimambo13 Jan
MIKANDA MIWILI YA UBINGWA WA TAIFA WA NGUMI KUGOMBANIWA MANYARA PARK JANUARY 30
![](https://3.bp.blogspot.com/-bx2_78dYOE0/VLRAloDh3XI/AAAAAAAAG3U/cS3vnM6agRY/s1600/NDAME%2B2.jpg)
BONDIA Ibrahimu Tamba ambaye ni bingwa wa uzito wa kg 72 ambaye ni bingwa wa TPBO anatarajia kuvaana na Baraka Mwakansope wa Mbeya mpambano wa ubingwa wa raundi kumi utakaofanyika january 30 katika ukumbi wa Manyara Park Tandale CCM
akizungumzia mpambano huo promota Jafarri Ndame amesema siku hiyo kutakuwa na mipambano miwili ya ubingwa yote yakiwa na raundi kumi kila moja mpambano mwingine utawakutanisha Azizi Abdallah akatakaekabiliana na Selemani Zugo pia kutakuwa na...
11 years ago
Habarileo11 Aug
‘Wanawake duniani kote hawapendi vita’
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema wanawake wote duniani hawapendi vita wala machafuko na hulilia amani kwani machafuko husababisha kutoweka kwa amani kuanzia ngazi ya familia na kuleta vifo vya watu wasio na hatia.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kwanini watu hawapendi kupiga kura?
TUMESHUHUDIAuchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa na...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
KUTONGOZA KWA KUJISIFU, WANAWAKE HAWAPENDI KUSIKIA
![](http://www.essence.com/sites/default/files/images/2014/04/08/couple-meeting-bar_400x295_92.jpg)
Mada yetu ya leo ni kujisifu, wanawake hawapendi kusikia. Hii ni mada pana kidogo ambayo wanaume ni walengwa wakubwa lakini wenyewe hawajui.
KABLA YA MADA
Kabla ya mada nachukua nafasi hii kusema kuwa, mara zote ninapoandika jambo f’lani huwa nafanya uchunguzi wa kina kwanza kwa wahusika wachache ambapo hesabu za haraka huniambia ukweli unakuwa wapi!
TURUDIE MADA
Wiki...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
PSPF watoa elimu kwa madereva taxi wa wilaya ya Ilala na madereva kujiunga na mpango wa hiari
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma akitoa maelezo ya kina kuhusu faida na huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujionga alipokuwa akiongea na madereva wa taxi wa wilaya Ilala jijini Dar
Mkuu wa Kitengo Cha Elimu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu, Abel Swai akizungumza na madereva wa taxi wa wilaya ya Ilala(Hawapo pichani) kuhusu kutii sheria za barabarani na...