Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABONDIA IBRAHIMU TAMBA NA JULIUS KISARAWE WANYAKUWA MIKANDA YA TPBO

Bondia Mrisho Adam kushoto akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo Bondia Mrisho Adam kulia akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo Mabondia Karim Ramadhani Kushoto akipambana na Stevin Kobelo wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mchazo huo ulimalizika kwa drooBondia Hassani Kiwale kushoto...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA SAMSON MAISHA NA IBRAHIMU TAMBA WATAMBIANA KUZIDUNDA JUMAPILI NOVEMBA 9 MANYARA PARK MANZESE

Bondia Maisha Samson kushoto wakitunishiana misuli na Ibrahimu Tamba wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika jumapili ya novemba 9 katika ukumbi wa manyara park tandale CCM Bondia Maisha Samson kushoto wakitunisha misuli na Ibrahimu Tamba wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika jumapili ya novemba 9 katika ukumbi wa manyara park tandale CCM Samson MaishaIbrahimu TambaMabondia Ibrahimu Tamba wa Dar kushoto na Samson Maisha wa Kyela Mbeya wakinyoshwa mikono juu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Julius Kisarawe kuzichapa na Moro Best leo

BONDIA Julius Kisarawe anatarajiwa kupanda ulingoni katika Ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam leo, kuzichapa na Hassan Kiwale ‘Moro Best’. Kwa mujibu wa muandaaji wa mnyukano huo,...

 

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA COSMAS CHEKA KUGOMBANIA MKANDA WA U.B.O AFRICA FEB 28

Mratibu wa mpambano wa ubingwa wa UBO Africa Antony Rutta katikati akiwainua mikono juu mabondia Cosmas Cheka kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wao watakaozipiga 28 feb katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Mabondia Cosmas Cheka kushoto akitunishiana misuli na Ibrhahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Africa utakaofanyika feb 28 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaamMabondia...

 

11 years ago

Mwananchi

PST, TPBO wakana kumrubuni Cheka

Marais wa Organaizesheni za Ngumi za Kulipwa nchini PST na TPBO wamekanusha taarifa kuwa wao walihusika kumshawishi na kumrubuni aliyekuwa Bingwa wa Dunia wa WBF, Fransis Cheka kupigana bila kuangalia athari za pambano hilo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Madereva vijana hawapendi kufunga mikanda’

IMEBAINIKA kuwa idadi kubwa ya waendesha magari vijana hawafungi mikanda hivyo kuwafanya kuwa waathirika wakubwa wa ajali za barabarani ambazo zingeweza kuepukika. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Carmudi...

 

10 years ago

Vijimambo

MIKANDA MIWILI YA UBINGWA WA TAIFA WA NGUMI KUGOMBANIWA MANYARA PARK JANUARY 30

Na Mwandishi Wetu
BONDIA Ibrahimu Tamba ambaye ni bingwa wa uzito wa kg 72 ambaye ni bingwa wa TPBO anatarajia kuvaana na Baraka Mwakansope wa Mbeya mpambano wa ubingwa wa raundi kumi utakaofanyika january 30 katika ukumbi wa Manyara Park Tandale CCM

akizungumzia mpambano huo promota Jafarri Ndame amesema siku hiyo kutakuwa na mipambano miwili ya ubingwa yote yakiwa na raundi kumi kila moja mpambano mwingine utawakutanisha Azizi Abdallah akatakaekabiliana na Selemani Zugo pia kutakuwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Bondia Tamba kupanda ulingoni Nov 22

BONDIA Ibrahimu Tamba anatarajia kupanda ulingoni Novemba 22 katika ukumbi wa Friends Corner Manzese Dar es Salaam kupambana na bondia Baraka Mwakansope kutoka Mbeya.

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUE MAMIXOLOGISTS AU UKIPENDA DRINK MASTERS WANAO TAMBA DMV

 Evans Shangarai ambaye ndio anayejinyakulia kwa sasa hivi shughuli zote za mambo ya uuzaji kanywaji kwenye shughuli zote zinazoandaliwa na Watanzania DMV. katika picha Evans akimuhudumia Mashaka Bilali siku ya Jumatano Desemba 31, 2014 siku ya mkesha wa mwaka mpya ulioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV.
Didi Vava akiongea na Majid Zuberi baada ya kumhudumia siku ya Jumatano Desemba 31, 2014 siku ya mkesha wa mwaka mpya ulioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZILIZO TAMBA SIKU YA UFUNGUZI WA TANZANIA HOUSE NEW YORK CITY KUTOKA TEMBAPHOTO

Ukodak kutokaTembaphoto ndani ya Tanzania House New York City. Dr Temba akipata ukodak ndani ya Tanzania House kiroho safi


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani