Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PST, TPBO wakana kumrubuni Cheka

Marais wa Organaizesheni za Ngumi za Kulipwa nchini PST na TPBO wamekanusha taarifa kuwa wao walihusika kumshawishi na kumrubuni aliyekuwa Bingwa wa Dunia wa WBF, Fransis Cheka kupigana bila kuangalia athari za pambano hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbelwa: PST wanabahatisha

BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), kumfungia bondia Said Mbelwa kwa miezi sita kucheza pambano lolote ndani ya nchi, amesema uongozi huo unabahatisha, kwani anaamini yeye ndio...

 

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA IBRAHIMU TAMBA NA JULIUS KISARAWE WANYAKUWA MIKANDA YA TPBO

Bondia Mrisho Adam kushoto akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo Bondia Mrisho Adam kulia akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo Mabondia Karim Ramadhani Kushoto akipambana na Stevin Kobelo wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mchazo huo ulimalizika kwa drooBondia Hassani Kiwale kushoto...

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

10 years ago

TheCitizen

BOXING: Majiha falters, PST takes pluses

>Fadhili Majiha promised to pull off a victory over Jerwin Ancajas of the Philippines on Friday, but his hopes were false.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wakana kuhusika na mauaji

Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), Mkazi wa Kijiji cha Rung’abure wilayani Serengeti.

 

11 years ago

Habarileo

3 wakana kumuua mama yao

WAKAZI watatu wa kijiji cha Uhelela wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma wamekana shitaka linalowakabili la mauaji ya kukusudia ya mama yao mzazi, ambapo wanadaiwa kumshambulia kutokana na kitendo chake cha kumlazimisha mjukuu wake kula mchele.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wakana kutungua ndege ya UN

Waasi nchini Sudan wamekanusha madai kuwa walitungua helikopta moja ya Umoja wa Mataifa, katika mji wa Bentiu

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakana mauaji migodini TZ

Wamekanusha madai ya mauaji ya wakazi wa eneo la Nyamongo linalozunguka mgodi wa machimbo ya dhahabu Wilayani Tarime

 

10 years ago

Habarileo

ACT wakana kujiunga na Ukawa

CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimesema kinaingia katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila kuungana na chama chochote cha siasa kwa sababu wanaamini itikadi za vyama hivyo haiendani na itikadi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani