Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbelwa: PST wanabahatisha

BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), kumfungia bondia Said Mbelwa kwa miezi sita kucheza pambano lolote ndani ya nchi, amesema uongozi huo unabahatisha, kwani anaamini yeye ndio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

PST, TPBO wakana kumrubuni Cheka

Marais wa Organaizesheni za Ngumi za Kulipwa nchini PST na TPBO wamekanusha taarifa kuwa wao walihusika kumshawishi na kumrubuni aliyekuwa Bingwa wa Dunia wa WBF, Fransis Cheka kupigana bila kuangalia athari za pambano hilo.

 

10 years ago

TheCitizen

BOXING: Majiha falters, PST takes pluses

>Fadhili Majiha promised to pull off a victory over Jerwin Ancajas of the Philippines on Friday, but his hopes were false.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbelwa amtupa Nyilawila

Bondia Said Mbelwa amesema aliamua kuanzisha vurugu na kumbeba mpinzani wake Karama Nyilawila kisha kumtupa nje ya ulingo katika pambano lao la juzi la ubingwa wa Dunia wa UBO baada ya kuona dalili za kuhujumiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa

BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...

 

11 years ago

GPL

Pambano la Nyilawila na Mbelwa, damu yatawala

Konde Mbelwa akiwa chini baada ya kipigo kutoka kwa Karama Nyirawila hayupo pichani . Na Richard Bukos
PAMBANO la ndondi kugombea mkanda wa ubingwa wa UBO, kati ya bondia Kalama Nyilawila na Said Mbelwa lililofanyika usiku wa kuamkia jana Jumapili kwenye Ukumbi wa Friends Corner Hotel, Manzese jijini Dar es Salaam, lilikatishwa kutokana na… ...

 

11 years ago

GPL

PAMBANO LA NYIRAWILA NA MBELWA LAVUNJIKA RAUNDI YA 8

Karama Nyirawila (kushoto) akimpelekea konde Mbelwa. ...Wakiviziana. Mbelwa akiwa chini baada ya kusukumiwa…

 

9 years ago

Habarileo

Mbelwa, Dimos kuwania taji la Taifa

BONDIA Said Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuwania mkanda wa Taifa wa Chama cha Ngumi za Kulipwa (PST) dhidi ya George Dimos utakaofanyika Septemba 26, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Butiama Villa Club uliopo Chanika Ilala, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAID MBELWA: Bondia anayetumikia kifungo kwa kinyongo

SAID Mbelwa si jina geni masikioni hata machoni mwa wapenzi na mashabiki wa masumbwi nchini. Hii inatokana na kuwa miongoni mwa mabondia mahiri kwa sasa ambao uwezo wao, umekuwa ndio...

 

11 years ago

GPL

KARAMA NYILAWILA KUTWANGANA NA SAID MBELWA MEI 24, 2014

Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO utakaofanyika Mei  24 mwaka huu katika ukumbi wa Friends Corner, Manzese jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST, Anthony Rutta. (Picha na Super D)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani