Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbelwa, Dimos kuwania taji la Taifa

BONDIA Said Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuwania mkanda wa Taifa wa Chama cha Ngumi za Kulipwa (PST) dhidi ya George Dimos utakaofanyika Septemba 26, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Butiama Villa Club uliopo Chanika Ilala, Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

12 kuwania taji la miss Kilimanjaro 2014

Walimbwende 12 wanaotarajia kuwania taji la mrembo wa mkoa wa Kilimanjaro mwaka 2014 wakiwa katika pozi la picha kwenye hotel ya Sal salnero mjini Moshi,shindano hilo litafanyika Juni 6 mwaka huu katika ukumbi wa Kili Home mjini Moshi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Albino kuwania taji la urembo Tanzania

Watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania wamepata fursa ya kushindania taji la kipekee la urembo, na pia kuhimiza jamii kuthamini utu wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Meyiwa kuwania taji la mchezaji bora

Marehemu Senzo Meyiwa ni mmoja ya walioteuliwa kuwania taji la mwanasoka bora barani afrika.

 

9 years ago

Vijimambo

AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO

Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza ProductionMiss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha KamaraAeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016

Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]

The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

5 years ago

BBCSwahili

Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.

Jurgen Klopp amechangia pakubwa katika ushindi wa Liverpool kwenye Ligi ya Primia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti ACT taifa, Anna Mhgwira kuwania ubunge jimbo la Singida mjini

DSC01028

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo taifa, Anna Mhgwira, akijitambulisha kuwa ndiye mgombea ubunge jimbo la Singida mjini, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Peoples Club jana (6/8/2015). Mwenyekiti huyo ameahidi endapo atafanikiwa kupata nafasi hiyo,atahakikisha mji unakuwa na viwanja vya kisasa kwa ajili ya wananchi kupumzika.

DSC01050

Kiongozi mkuu wa ATC Wazalendo, Kabwe Zitto, akihutubia baadhi ya wakazi wa mji wa Singida jana (6/8/2015) kwenye uwanja wa Peoples Club.Pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani