Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..
December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]
The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji....
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Nyota walioshindwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya
11 years ago
GPLNANI KUTWAA TAJI LA MISS TABATA LEO DA’ WEST PARK
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Van Gaal: United inalenga taji la EPL
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCAOEiGfco84U5KOLiOnNVoDUu0sU9YPjcsLiCHw*NAHkKd4BGTzcK2Qbc7VNsWmRViv3yqMuAqSENoWxfjnQCdA/arsenal.jpg)
ARSENAL BINGWA FA, NI BAADA YA MIAKA 9 BILA KOMBE!