Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
SIKU muhimu sana pale Stamford Bridge! Hii ni mechi ambayo inaweza kutupa jibu la nani bingwa katika Ligi Kuu ya Uingereza. Bila shaka, Man City bado wanataka kuwakwamisha Liverpool, watahitaji kukamilisha kibarua hiki kigumu kwa kusepa na ushindi kutoka wapinzani wao wa London.
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kocha Mourinho aipa taji Man City
5 years ago
Mirror Online25 Mar
Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Liverpool,Man City zashinda Man United nje
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..
December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]
The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Liverpool hoi, Man City v Utd
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Sterling:Liverpool na Man City zakubaliana
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool