ARSENAL BINGWA FA, NI BAADA YA MIAKA 9 BILA KOMBE!
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCAOEiGfco84U5KOLiOnNVoDUu0sU9YPjcsLiCHw*NAHkKd4BGTzcK2Qbc7VNsWmRViv3yqMuAqSENoWxfjnQCdA/arsenal.jpg)
Arsenal wametwaa kombe la FA baada ya kukaa miaka tisa bila kombe lolote. Wametwaa ndoo hiyo kwa kuifunga Hull City bao 3-2 katika muda wa nyongeza baada ya sare ya 2-2 katika muda wa kawaida kwenye Uwanja wa Wembley usiku huu. Wafungaji Arsenal: Carzola dakika ya 17, Koscielny dakika ya 71 na Ramsey dakika ya 109 wakati ya Hull City yakifungwa na Chester dakika ya 4 na Davies dakika ya 8. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnX4zS3baqSKld4P903Z2DGdBOiTBBA5-kROyijxUhWUNBTsh9xtip6XcsxHR6iauwnB-opIC4pKr2C6TWOibO8r/arsenal.jpg)
ARSENAL BINGWA NGAO YA JAMII
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Bingwa Kombe la FA kumfunika wa Ligi
*Atacheza mechi saba tu atanyakua mil. 50/-
NA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM
BINGWA wa mashindano ya Kombe la FA ‘Azam Sports Federation Cup’, anatarajia kumfunika vibaya bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwa fedha ya zawadi inayotolewa na wadhamini wa michuano hiyo.
Wakati wadhamini wa Ligi Vodacom wakitoa zawadi ya Sh milioni 70 kwa bingwa wake baada ya kucheza michezo 30, bingwa wa FA yeye anatarajia kuondoka na Sh milioni 50 baada ya kucheza michezo saba tu.
Mashindano ya FA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoRVGb50747B29mzpjwT0If2aQX991SQ-2n0QOwI6KFS7jdjaMMTW*2D5cShDEqu1X7p3N9913dptIJ0swoqbu-/kenyateam.jpg?width=650)
KENYA BINGWA KOMBE LA CHALENJI 2013
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Marekani bingwa kombe la Dunia wanawake
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqrHFit6fK-a8VUQq1iusWIx5iqDZeZn-ozjzo5u1QvIljOr45T-FcbPGpSjRTOSdYfISJ-dbrB6S2uhe-GvFZK/ujerumani.jpg)
UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.
Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Malinzi akabidhi kombe bingwa Michuano shule za Sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s1600/unnamed+(13).jpg)