Nyota walioshindwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya
Mafanikio ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yapo mbali kwa Zlatan Ibrahimovic, licha ya kucheza Barcelaon, Inter, Juventus, Milan na sasa PSG.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 May
Kuelekea Ligi ya Mabingwa Pluijm amulika nyota A/Magharibi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KLABU ya Yanga sasa akili zao zote ni kujipanga kwa Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani, inaelezwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amewamulika baadhi ya wachezaji nyota kutoka Afrika Magharibi ili kuwasajili.
Katika mpango huo wa Mholanzi, inadaiwa ametamanishwa na wachezaji wawili kutoka Ghana, ambao anafikiria kuwanasa kwa msimu ujao ili kuipa makali zaidi Yanga ambayo msimu huu imeishia raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kutolewa na...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
9 years ago
GPLMAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
10 years ago
GPL9 years ago
Bongo504 Nov
Matokeo ya ligi ya mabingwa Ulaya, November 3
Mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya ziliendelea tena usiku wa November 3. Kulikuwa na mechi katika viwanja vinane tofauti kwa michezo ya Kundi A, B, C na D kupigwa.
MATOKEO YA MECHI HIZO;
Shakhtar Donetsk 4-0 Malmo FF
B. Monchengladbach 1-1 Juventus
Benfica 2-1 Galatasaray
Real Madrid 1-0 Paris Saint-Germain
Sevilla 1-3 Manchester City
PSV 2-0 VfL Wolfsburg
Manchester United 1-0 CSKA Moscow
FC Astana 0-0 Atletico de Madrid
10 years ago
GPLBARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA