Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makundi Ligi ya Mabingwa Mikoa hadharani

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) 2013/14, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10 hadi Juni 2, ambapo mabingwa 27 wa mikoa hiyo wamegawanywa makundi matatu ya timu tisa kila moja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya ligi ya mabingwa Ulaya, November 3

1446586392283_lc_galleryImage_Football_Manchester_Unite

Mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya ziliendelea tena usiku wa November 3. Kulikuwa na mechi katika viwanja vinane tofauti kwa michezo ya Kundi A, B, C na D kupigwa.

MATOKEO YA MECHI HIZO;

Shakhtar Donetsk 4-0 Malmo FF
B. Monchengladbach 1-1 Juventus
Benfica 2-1 Galatasaray
Real Madrid 1-0 Paris Saint-Germain
Sevilla 1-3 Manchester City
PSV 2-0 VfL Wolfsburg
Manchester United 1-0 CSKA Moscow
FC Astana 0-0 Atletico de Madrid

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.

Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.

 
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.

 
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona

 
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.

 
Ajax inakutana leo na Apoel...

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya

Mechi zingine za ligi ya mabingwa Ulaya kwa michezo ya Kundi E, F, G na H zimechezwa na haya ni matokeo ya mechi zote za September 16. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo November 3

article-3300866-2E0A384000000578-957_636x412Ligi ya Mabingwa Ulaya itaendelea usiku wa Jumanne katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Baahi ya mechi hizo ni Real Madrid itaikaribisha Paris Saint-Germain katika dimba la Santiago Bernabeu, huku Man United ikiwa Old Trafford kumenyana na CSKA Moscow. Mechi za leo Jumanne Real Madrid v Paris St G 21:45 Man Utd v CSKA 21:45 Sevilla […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani