Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makundi Ligi ya Mabingwa Mikoa hadharani

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) 2013/14, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10 hadi Juni 2, ambapo mabingwa 27 wa mikoa hiyo wamegawanywa makundi matatu ya timu tisa kila moja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...

 

10 years ago

Michuzi

PAN AFRICA FC NA CHANGANYIKENI FC,KUSAKA NAFASI YA KUCHEZA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA

Baada ya kumalizika kwa michuano ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam na timu za FFU na Zakhem kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye makundi yao,kesho 20/03/2015 utapigwa mchezo mmoja wa kusaka nafasi ya kuungana na mabingwa hao kushiriki michuano ya ligi ya mikoa.Mchezo huo wa mtoano utakaopigwa katika uwanja wa Mizinga Kigamboni,utazikutanisha timu za Pan Africa dhidi ya Changanyikeni ambazo zimemaliza katika nafasi ya pili kwenye makundi yao.Kwa mujibu wa kamati ya mashindano ya chama cha...

 

10 years ago

Michuzi

MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHORIKI LIGI YA MABINGWA WA MIKOA

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha ,kanda ya Kaskazini ,Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil ,1.5 kwa mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA) Gudluck Mushi kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc inayoshiriki ligi ya mabingwa wa mikoaikiwa kituo cha Lindi.
Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Gudluck Mushi akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa pesa kiasi cha sh Mil,1.5 kutoka kampuni ya Megatrade kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Southampton yalenga Ligi ya Mabingwa

Southampton ina malengo ya kushiriki michuano ya klabu bigwa ndani ya miaka mitano kwa mujibu wa mkurugenzi mtendaji Les Reed.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani