MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHORIKI LIGI YA MABINGWA WA MIKOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5TrpycYeV2E/VV2OlmDhMII/AAAAAAAAP0I/T50iG5XvGu0/s72-c/E86A7998%2B%2528800x533%2529.jpg)
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha ,kanda ya Kaskazini ,Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil ,1.5 kwa mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA) Gudluck Mushi kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc inayoshiriki ligi ya mabingwa wa mikoaikiwa kituo cha Lindi.
Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Gudluck Mushi akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa pesa kiasi cha sh Mil,1.5 kutoka kampuni ya Megatrade kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5TrpycYeV2E/VV2OlmDhMII/AAAAAAAAP0I/T50iG5XvGu0/s72-c/E86A7998%2B%2528800x533%2529.jpg)
MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHIRIKI LIGI YA MABINGWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-5TrpycYeV2E/VV2OlmDhMII/AAAAAAAAP0I/T50iG5XvGu0/s640/E86A7998%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W1i5PR8RQWQ/VV2Oq-5D8aI/AAAAAAAAP0Y/6wvFVclEun0/s640/E86A8000%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E6u6vTU7pm8/VV2OsJk5VjI/AAAAAAAAP0g/uRuHt13nQ_I/s640/E86A8003%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJG9O5FvmqU/VV2OaXGNHSI/AAAAAAAAPzY/eKIODxPQfKM/s640/E86A7973%2B%2528800x533%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8T1W8ouVU6E/Vnei2L2VHqI/AAAAAAAAY3A/yYWq5eKBBL0/s72-c/IMG_2105%2B%25281024x683%2529.jpg)
MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YATOA SIKU KUU KWA WATOTO WA KITUO CHA AMANI CENTER
![](http://1.bp.blogspot.com/-8T1W8ouVU6E/Vnei2L2VHqI/AAAAAAAAY3A/yYWq5eKBBL0/s640/IMG_2105%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zr5XGybXd3U/Vnei3MVnvqI/AAAAAAAAY3E/5uJWoeZF7zM/s640/IMG_2119%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Makundi Ligi ya Mabingwa Mikoa hadharani
LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) 2013/14, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10 hadi Juni 2, ambapo mabingwa 27 wa mikoa hiyo wamegawanywa makundi matatu ya timu tisa kila moja...
10 years ago
Michuzi25 Mar
PAN AFRICA FC NA CHANGANYIKENI FC,KUSAKA NAFASI YA KUCHEZA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
10 years ago
Dewji Blog18 May
ZAMZAM waibuka mabingwa kombe la Ng’ombe Jijini Arusha
Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha, Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Ng”ombe kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla ya mabao 2-0 jana katika uwanja wa shule ya msingi Sinoni jijini Arusha.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha,Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Jezi kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep