Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAMZAM waibuka mabingwa kombe la Ng’ombe Jijini Arusha

unnamed (1)

Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha, Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Ng”ombe kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla ya mabao 2-0 jana katika uwanja wa shule ya msingi Sinoni jijini Arusha.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

unnamed (2)

Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha,Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Jezi kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FAINALI YA KOMBE LA NG'OMBE ARUSHA NI ZAMZAM V/S NYOTA

kombe 3
Mfadhili wa michuano ya kombe la Ng'ombe  ambaye pia mkurugenzi wa kampuni ya  East Link Tanzania Ltd,Kim Fute wapili kutoka kushoto akibadilishana mawazo na baadhi ya vijana waliofika kushuhudia michuano hiyo ,michuano hiyo itahitimishwa mapema siku ya jumapili wiki hiii katika uwanja wa shule ya msingi Sinoni ambapo Timu ya Zamzam na Nyota watachuana.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).kombe na view meru mlimaTaswira ya muonekano wa mlima Meru unavyoonekana pichani,hii ilikuwa juzi katika uwanja wa shule...

 

10 years ago

Vijimambo

MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHIRIKI LIGI YA MABINGWA.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha ,kanda ya Kaskazini ,Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil ,1.5 kwa mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA) Gudluck Mushi kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc inayoshiriki ligi ya mabingwa wa mikoaikiwa kituo cha Lindi.Hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment Ltd.Menejamauzo wa kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade,Edmund Rutaraka akizungumza jambo mara baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YAWABEBA KILIMANJRO FC INAYOSHORIKI LIGI YA MABINGWA WA MIKOA

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha ,kanda ya Kaskazini ,Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil ,1.5 kwa mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA) Gudluck Mushi kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc inayoshiriki ligi ya mabingwa wa mikoaikiwa kituo cha Lindi.
Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Gudluck Mushi akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa pesa kiasi cha sh Mil,1.5 kutoka kampuni ya Megatrade kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilimanjaro, Tanzanite hoi , Uganda waibuka mabingwa

Timu ya Netiboli ‘Kilimanjaro Queens’ na ile ya Kikapu ‘The ‘Tanzaniate’ za Tanzania bara zimetwaa nafasi ya pili kila moja kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyofikia kilele chake jana visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujambazi mpya waibuka Arusha

JIJI la Arusha limekumbwa na taharuki baada ya kuibuka kwa matukio ya wanawake wanaoendesha magari kuvamiwa na kupigwa risasi na watu wasiofahamika ambao hutoweka bila kuchukua chochote. Hadi sasa, wanawake...

 

9 years ago

Habarileo

Zimamoto mabingwa Kombe la Makocha

MAFANDE wa timu ya Zimamoto wametwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Makocha kwa kuifunga Miembeni City kwa mikwaju ya penalti 4-3 katika mchezo wa fainali uliochezwa juzi kwenye uwanja wa Amaan mjini Unguja.

 

9 years ago

Habarileo

Temeke mabingwa Kombe la ARS 2015

MICHUANO ya soka ya Airtel Rising Stars kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, ilifikia tamati ambapo timu ya wasichana ya Temeke walitwaa ubingwa baada ya kuwafunga majirani zao wa Kinondoni kwa penalti.

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015

Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC. (Picha zote na Francis Dande) Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0.Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabingwa Manyara bado kupewa kombe

CHAMA cha Soka mkoani Manyara (MARFA), kimeshindwa kukabidhi Kombe kwa mabingwa wapya wa mkoa, Tanzanite FC, baada ya mabingwa wa mwaka jana Magugu Rangers kushindwa kulikabidhi kwa Kamati ya Mashindano....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani