Ujambazi mpya waibuka Arusha
JIJI la Arusha limekumbwa na taharuki baada ya kuibuka kwa matukio ya wanawake wanaoendesha magari kuvamiwa na kupigwa risasi na watu wasiofahamika ambao hutoweka bila kuchukua chochote. Hadi sasa, wanawake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...
10 years ago
Dewji Blog18 May
ZAMZAM waibuka mabingwa kombe la Ng’ombe Jijini Arusha
Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha, Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Ng”ombe kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla ya mabao 2-0 jana katika uwanja wa shule ya msingi Sinoni jijini Arusha.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Mfadhili wa fainali za kombe la Ng’ombe jijini Arusha,Kim Fute akimkabidhi zawadi ya Jezi kocha wa klabu ya Zamzam,Omary Athuman mara baada ya timu yake kuilaza klabu ya Nyota kwa jumla...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200507-WA0067.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA WAKIWA NJIANI KWENDA KUFANYA UHALIFU MKOANI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0067.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye Suti ya blue wakitoka kukagua gari Lilikuwa likitumiwa na majambazi hao aina ya Toyota Crown lenye namba za usajili T777DSJ wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa majambazi wanne Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylOvAwQpzvU/XrQ5TohDcNI/AAAAAAAAJUc/0g761e9A5BAAV6LbnER7x8vL7HftMTYlgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0068.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akilipongeza Jeshi la Polisi kwa kutumia sheria ya tii bila shuruti na kufanikiwa kukamata majambazi wanne bila kuwapiga...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Waziri-Wa-Afya--Ocxtober7-2014.jpg)
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
10 years ago
Mtanzania07 May
Mgogoro mpya wamiliki mabasi, madereva waibuka
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MGOGORO mpya umeibuka kati ya wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani baada ya wamiliki kutishia kuwafukuza kazi madereva wao walioshiriki mgomo.
Hatua hiyo imekuja baada ya baadhi ya madereva walioshiriki katika mgomo huo wa siku mbili kufukuzwa kazi na baadhi ya wamiliki wa mabasi hayo.
Kutokana na hatua hiyo, Mhasibu Mkuu wa Umoja wa Madereva Tanzania (UWAMATA) Issa Regan, aliwataka matajiri waliowafukuza madereva wao kuwarudisha kazini mara...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mG6jG6VLyzg/VEiAprYFCVI/AAAAAAAGs3U/UfOXQtqh-wE/s72-c/IMG-20141020-WA0010.jpg)