Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro-3Jan2015.jpg)
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.
Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Polisi Tarime...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s72-c/IMG_20141010_094833.jpg)
JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKIUWA WANAWAKE ARUSHA LAUWAWA NA POLISI WANANCHI WASHANGILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OqGceKfwNoM/VDevFHpm2DI/AAAAAAAANkg/W0DgT_gnaLk/s1600/IMG_20141010_094201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mr1YinXpiLo/VDexG8WsL7I/AAAAAAAANlg/vORTdT1lcoE/s1600/IMG_20141010_094844.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JAqo2wO4BU/VDexQwl_XsI/AAAAAAAANlw/vV0qiZTwkrc/s1600/IMG_20141010_095013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R64RCccMzIk/VDexjFuHu8I/AAAAAAAANmY/X7y8_ntQyms/s1600/IMG_20141010_100045.jpg)
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrPr4f-SN110Llx4KmBS83RArSXkciAummPSpjPQ4Wr8QjTjrc1uTCYDLoT2xVIMeaVvNdnaqBi8T-rT8VHjIKz5/150513134408_burundirais_nkurunzinza_apinduliwa__640x360_bbc_nocredit.jpg)
WANANCHI WA BURUNDI WASHANGILIA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7Jv2XBTb*cG-qKJaqwmv7H7Qy0PoOW8Jj0X1HXoQYT8e4ufvKYtRCzMAklR1NIkf9gVwl2SQKDal0AlMKNuWSDog/CCM1.jpg?width=650)
MAGUFULI AWAKUNA WANANCHI WA KARAGWE, APIGA PUSH UP JUKWAANI, WANANCHI WASHANGILIA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vfT2NUYfjY8/VgEISy0DrqI/AAAAAAAH6xI/JHEsUC2d5zs/s72-c/_MG_8934.jpg)
MAGUFULI AWAKUNA WANANCHI WA KARAGWE,APIGA PUSH UP JUKWAANI,WANANCHI WASHANGILIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vfT2NUYfjY8/VgEISy0DrqI/AAAAAAAH6xI/JHEsUC2d5zs/s640/_MG_8934.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FwPbQBKsN5Y/VgEIS5Vxt-I/AAAAAAAH6xA/RQ3Cxpp7d94/s640/_MG_8928.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRFfnINNYQ0/VgEIR5AE_BI/AAAAAAAH6w4/vYaGVEITiF0/s640/_MG_8877.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mtuhumiwa wa ujambazi auawa
MTU anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu mkazi wa Kitongoji cha Chanji, mjini Sumbawanga, amekufa kwa kupigwa na wananchi wenye hasira kali. Mtuhumiwa huyo Denis Gagala maarufu kama ’Babyloon’ (31) anadaiwa kuwa...
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Nyumba za mtuhumiwa ujambazi zachomwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Suzan-06Jan%202015.jpg)
Wananchi wa kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameteketeza nyumba tano za mtu wanayemtuhumu kuwa jambazi.
Kufuatia kitendo hicho, wananchi hao sasa wamelazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia kukamatwa na Jeshi la Polisi ili mkono wa sheria uchukue mkondo wake.
AFISA MTENDAJI ANENA
Afisa Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Mdeka Said, akizungumza na NIPASHE jana, alisema wananchi hao walichoma nyumba hizo zinazomilikiwa na Mahona Malendeja,...
9 years ago
Habarileo28 Aug
Mtuhumiwa wa ujambazi afa katika mapambano na polisi
MTU anayedaiwa kuwa jambazi amekufa baada ya kutokea mapambano baina ya kundi alilokuwa nalo na polisi mkoani Morogoro. Mapambano hayo yanadaiwa kutokea katika kijiji cha Nakufuru, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema tukio hilo ni la Agosti 24.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha