Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa wa ujambazi auawa

MTU anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu mkazi wa Kitongoji cha Chanji, mjini Sumbawanga, amekufa kwa kupigwa na wananchi wenye hasira kali. Mtuhumiwa huyo Denis Gagala maarufu kama ’Babyloon’ (31) anadaiwa kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi

Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Lazaro Mambosasa
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.

Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.

Kamanda wa Polisi Tarime...

 

10 years ago

Vijimambo

Nyumba za mtuhumiwa ujambazi zachomwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzana Kaganda
Wananchi wa kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameteketeza nyumba tano za mtu wanayemtuhumu kuwa jambazi.

Kufuatia kitendo hicho, wananchi hao sasa wamelazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia kukamatwa na Jeshi la Polisi ili mkono wa sheria uchukue mkondo wake.

AFISA MTENDAJI ANENA
Afisa Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Mdeka Said, akizungumza na NIPASHE jana, alisema wananchi hao walichoma nyumba hizo zinazomilikiwa na Mahona Malendeja,...

 

9 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa wa ujambazi afa katika mapambano na polisi

MTU anayedaiwa kuwa jambazi amekufa baada ya kutokea mapambano baina ya kundi alilokuwa nalo na polisi mkoani Morogoro. Mapambano hayo yanadaiwa kutokea katika kijiji cha Nakufuru, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema tukio hilo ni la Agosti 24.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi

Picha ya juu na chini  wananchi wa jiji la Arusha  waliojitokeza kuuangalia mwili wa  jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).

Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo  ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.

Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...

 

10 years ago

Michuzi

mtuhumiwa sugu ujambazi katika mikoa ya mwanza,shinyanga na simiyu atiwa mbaroni

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza,SACP Valentino Mlowola akiwa na makamanda wenzake SACP Charles Mkumbo (Shinyanga) na  SACP Justus Kamugisha (Simiyu) wakati wakizungumza na waandishi wa habari kufuatia kutiwa mbaroni kwa mtuhumiwa wa ujambazi ambaye pia ni mfanyabiashara aitwaye Njile Samweli (46) marufu kwa “John” wa mjini Bariadi mkoani Simiyu, aliyekuwa akifanya matukio ya uhalifu katika Mikoa ya Mwanza, Simiyu, Shinyanga, Singida na Tabora.Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Auawa na kuchomwa moto kwa tuhuma za ujambazi

DSC01655

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa ya wananchi kumuua kijana Hussein Jumanne Kisuke (31) anayedaiwa kuwa ni jambazi sugu. Baada ya kumshambuliwa kwa silaha za jadi na kufariki dunia na kisha kumchoma moto.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Mtuhumiwa wa Ujambazi mkazi wa Misuna Hussein Jumanne Kisuke (31) juzi  alipigwa na wananchi wa Misuna mjini Singida kwa kutumia silaha za jadi na kuuwawa na kisha kuchomwa moto.

Kamanda wa...

 

10 years ago

Habarileo

Bosi kitengo cha kuzuia ujambazi auawa

MKUU wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Ujambazi Mkoa wa Morogoro, Elibariki Pallangyo (53), amepigwa risasi na kufa papo hapo nyumbani kwake eneo la Yombo jiji Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa matukio ya kigaidi Arusha auawa

MTUHUMIWA wa ugaidi, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kwa jina la Yahaya Sensei, ambaye inadaiwa kuwa ni kinara na mwasisi wa matukio tisa ya ulipuaji wa mabomu na umwagiaji wa tindikali maeneo mbalimbali nchini, ameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa auawa baada ya kushindwa kujieleza

MTU mmoja mwenye umri kati ya miaka 25 na 30 ambaye jina lake halifahamiki, ameuawa baada ya kushindwa kujieleza juu ya pikipiki ambayo yeye na mwenzake walikuwa wanajaribu kuiuza Chalinze.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani