Nyumba za mtuhumiwa ujambazi zachomwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzana Kaganda
Wananchi wa kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameteketeza nyumba tano za mtu wanayemtuhumu kuwa jambazi.
Kufuatia kitendo hicho, wananchi hao sasa wamelazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia kukamatwa na Jeshi la Polisi ili mkono wa sheria uchukue mkondo wake.
AFISA MTENDAJI ANENA
Afisa Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Mdeka Said, akizungumza na NIPASHE jana, alisema wananchi hao walichoma nyumba hizo zinazomilikiwa na Mahona Malendeja,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mtuhumiwa wa ujambazi auawa
MTU anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu mkazi wa Kitongoji cha Chanji, mjini Sumbawanga, amekufa kwa kupigwa na wananchi wenye hasira kali. Mtuhumiwa huyo Denis Gagala maarufu kama ’Babyloon’ (31) anadaiwa kuwa...
9 years ago
StarTV14 Nov
Nyumba 15 zachomwa moto Isodero Geita
Wakazi wa kijiji cha Idosero na Saragulwa Mkoani Geita wamedai kuvamiwa katika vijiji vyao na Wakala wa Misitu na kuharibiwa mazao na nyumba kumi na tano kuchomwa moto kwa madai ya kuwa wananchi hao wamejenga na kulima ndani ya Hifadhi.
Wananchi hao wamesema wameshangaa kuvamiwa bila taarifa yoyote na kuharibiwa mali zao na nyingine kuchukuliwa na watu wa Misitu hali iliyorudisha nyuma nguvu kazi kwa kukosa mahala pa kuishi na kuiomba Serikali kuingilika kati na kulishughulikia suala la...
10 years ago
Habarileo11 Jan
Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi
WATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro-3Jan2015.jpg)
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.
Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Polisi Tarime...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nyumba 12 zachomwa kwa tuhuma za kufanya vurugu
WAKAZI wa Kijiji cha Mingenyi, Kata ya Gehandu, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamechoma nyumba 12 zinazoishi kaya 50 wakiwatuhumu kufanya vurugu wakati wa kurudiwa kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika eneo hilo.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Nyumba 24 zachomwa moto wakituhumiwa kuua watu 5
9 years ago
Habarileo28 Aug
Mtuhumiwa wa ujambazi afa katika mapambano na polisi
MTU anayedaiwa kuwa jambazi amekufa baada ya kutokea mapambano baina ya kundi alilokuwa nalo na polisi mkoani Morogoro. Mapambano hayo yanadaiwa kutokea katika kijiji cha Nakufuru, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema tukio hilo ni la Agosti 24.
9 years ago
Vijimambo30 Oct
Nyumba tisa zachomwa moto Z'bar Dk. Magufuli akitangazwa mshindi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/NEC-30Oct2015.png)
Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, baadhi ya wafuasi na wanachama wa CCM kisiwani hapo walianza kushangilia ushindi huo. Hata hivyo, wakati wakiendelea kushangilia ushindi huo huku wakilidhihaki kundi lingine hali iliyosababisha warushiane...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...