Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba 24 zachomwa moto wakituhumiwa kuua watu 5

Geita. Zaidi ya nyumba 24 zimevunjwa na kuteketezwa moto Kijiji cha Kilombero, mkoani Geita na wananchi kutokana na mauaji ya Felister Mathias (55), anayedaiwa kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wa ukoo mmoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Nyumba 15 zachomwa moto Isodero Geita

Wakazi wa kijiji cha Idosero na Saragulwa Mkoani Geita wamedai kuvamiwa katika vijiji vyao na Wakala wa Misitu  na kuharibiwa mazao na nyumba kumi na tano kuchomwa moto kwa madai ya kuwa wananchi hao wamejenga na kulima ndani ya Hifadhi.

Wananchi hao wamesema wameshangaa kuvamiwa bila taarifa yoyote na kuharibiwa mali zao na nyingine kuchukuliwa na watu wa Misitu hali iliyorudisha nyuma nguvu kazi kwa kukosa mahala pa kuishi na kuiomba Serikali kuingilika kati na kulishughulikia suala la...

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi

RPC, Valentino MlowolaWATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.

 

9 years ago

Vijimambo

Nyumba tisa zachomwa moto Z'bar Dk. Magufuli akitangazwa mshindi.

Nyumba tisa zimeteketezwa kwa moto katika kisiwa cha Tumbatu Kaskazini Unguja muda mfupi baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kutangaza ushindi wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli.

Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, baadhi ya wafuasi na wanachama wa CCM kisiwani hapo walianza kushangilia ushindi huo. Hata hivyo, wakati wakiendelea kushangilia ushindi huo huku wakilidhihaki kundi lingine hali iliyosababisha warushiane...

 

9 years ago

Mtanzania

Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja

Pg 2NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.

Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.

Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...

 

10 years ago

Vijimambo

NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY



Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.Moto ulikuwa mkubwa na uliteketeza vitu vyote vya ndani na kwenye nyumba yenye paa 3na kuua watoto hao, Mama wa watoto alikimbia kupitia dirishani na mtoto mdogo...

 

10 years ago

Vijimambo

Nyumba za mtuhumiwa ujambazi zachomwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzana Kaganda
Wananchi wa kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameteketeza nyumba tano za mtu wanayemtuhumu kuwa jambazi.

Kufuatia kitendo hicho, wananchi hao sasa wamelazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia kukamatwa na Jeshi la Polisi ili mkono wa sheria uchukue mkondo wake.

AFISA MTENDAJI ANENA
Afisa Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Mdeka Said, akizungumza na NIPASHE jana, alisema wananchi hao walichoma nyumba hizo zinazomilikiwa na Mahona Malendeja,...

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba 12 zachomwa kwa tuhuma za kufanya vurugu

WAKAZI wa Kijiji cha Mingenyi, Kata ya Gehandu, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamechoma nyumba 12 zinazoishi kaya 50 wakiwatuhumu kufanya vurugu wakati wa kurudiwa kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika eneo hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

NYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA

NYUMBA ya Naibu sheha wa shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, Bikombo Simai Juma (42), ambayo imedaiwa kuchomwa moto na watu wasiofahamika kwa madai ya hitilafu za kisiasa, tukio hilo lilitokea oktoba 26, majira ya saa 7:00 usiku, ambapo wakati huo alikuwa ndani amelala na jumla ya watu 13 akiwemo mtoto mchanga wa mwezi mmoja, walisalimika kufa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
: NYUMBA nyengine ilioko kando mwa nyumba ya naibu sheha, eneo hilo la Tibirinzi, kijiji cha Minazini,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA

Mabaki ya nyumba yaliyoteketezwa kwa moto na wafugaji wa kimasaii wakidai eneo la malisho yao.(picha: Elias Kija, Siha, Kilimanjaro)Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai. Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.Kwa picha na maelezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani