Nyumba 24 zachomwa moto wakituhumiwa kuua watu 5
Geita. Zaidi ya nyumba 24 zimevunjwa na kuteketezwa moto Kijiji cha Kilombero, mkoani Geita na wananchi kutokana na mauaji ya Felister Mathias (55), anayedaiwa kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wa ukoo mmoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV14 Nov
Nyumba 15 zachomwa moto Isodero Geita
Wakazi wa kijiji cha Idosero na Saragulwa Mkoani Geita wamedai kuvamiwa katika vijiji vyao na Wakala wa Misitu na kuharibiwa mazao na nyumba kumi na tano kuchomwa moto kwa madai ya kuwa wananchi hao wamejenga na kulima ndani ya Hifadhi.
Wananchi hao wamesema wameshangaa kuvamiwa bila taarifa yoyote na kuharibiwa mali zao na nyingine kuchukuliwa na watu wa Misitu hali iliyorudisha nyuma nguvu kazi kwa kukosa mahala pa kuishi na kuiomba Serikali kuingilika kati na kulishughulikia suala la...
10 years ago
Habarileo11 Jan
Nyumba 13 zachomwa moto, 35 wakosa makazi
WATU 35 wakazi wa kitongoji cha Iroba kisiwani Bwiro wilaya ya Ukerewe, Mwanza hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 13 kuchomwa moto katika tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.
9 years ago
Vijimambo30 Oct
Nyumba tisa zachomwa moto Z'bar Dk. Magufuli akitangazwa mshindi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/NEC-30Oct2015.png)
Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, baadhi ya wafuasi na wanachama wa CCM kisiwani hapo walianza kushangilia ushindi huo. Hata hivyo, wakati wakiendelea kushangilia ushindi huo huku wakilidhihaki kundi lingine hali iliyosababisha warushiane...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Vijimambo22 Mar
NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY
![](http://ecx.images-amazon.com/images/I/41CeHuhTi3L._SX425_.jpg)
Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.
![](http://i.ytimg.com/vi/q4FGuLQDV_c/0.jpg)
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Nyumba za mtuhumiwa ujambazi zachomwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Suzan-06Jan%202015.jpg)
Wananchi wa kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameteketeza nyumba tano za mtu wanayemtuhumu kuwa jambazi.
Kufuatia kitendo hicho, wananchi hao sasa wamelazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia kukamatwa na Jeshi la Polisi ili mkono wa sheria uchukue mkondo wake.
AFISA MTENDAJI ANENA
Afisa Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Mdeka Said, akizungumza na NIPASHE jana, alisema wananchi hao walichoma nyumba hizo zinazomilikiwa na Mahona Malendeja,...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nyumba 12 zachomwa kwa tuhuma za kufanya vurugu
WAKAZI wa Kijiji cha Mingenyi, Kata ya Gehandu, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamechoma nyumba 12 zinazoishi kaya 50 wakiwatuhumu kufanya vurugu wakati wa kurudiwa kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika eneo hilo.
9 years ago
VijimamboNYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)