MAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
Mabaki ya nyumba yaliyoteketezwa kwa moto na wafugaji wa kimasaii wakidai eneo la malisho yao.(picha: Elias Kija, Siha, Kilimanjaro)
Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai.
Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.
Kwa picha na maelezo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3PdmSE80Aj8/VQ1ToKcnMTI/AAAAAAAHL4U/yuHPDnEjACc/s72-c/unnamed.jpg)
nyumba, magari mawili yateketezwa kwa moto katika vurugu eneo la Olasiti jijini Arusha leo
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s72-c/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s640/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CX84JFaZLI/VQqj1CuKkDI/AAAAAAAAzn8/7llhOkLhNm4/s640/AvAmViZ9cRQ6QgdtSB6cdVeK5fugidnQIyY45eGKhou_.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Vijimambo30 Oct
Nyumba tisa zachomwa moto Z'bar Dk. Magufuli akitangazwa mshindi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/NEC-30Oct2015.png)
Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, baadhi ya wafuasi na wanachama wa CCM kisiwani hapo walianza kushangilia ushindi huo. Hata hivyo, wakati wakiendelea kushangilia ushindi huo huku wakilidhihaki kundi lingine hali iliyosababisha warushiane...
9 years ago
StarTV01 Oct
Misumeno ya moto 45 yateketezwa Zanzibar
Jumla ya misumeno ya moto 45 inayosadikiwa kuangamiza kwa kiasi kikubwa misitu ya asili visiwani Zanzibar imeteketezwa kwa moto visiwani Zanzibar baada ya kubainika kuwa wamiliki wake wanaitumia kinyume na taratibu zilizopo.
Kutokana na hali hiyo Serikali ya Zanzibar imezindua sheria mpya ya kudhibiti matumizi ya misumeno hiyo inayopiga marufuku mtu yeyote kumiliki ama kuingiza nchini aina ya misumeno hiyo bila ya kibali maalum kwa mamlaka husika lengo likiwa kunusuru uharibifu mkubwa wa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11947472_1081693931848512_1592356212416966947_n.png)
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5DgDmEiKsdltOGiBJBOY05FrG-5JQAeIke0npnynwdFc37terdWZ-eWY-gJrovIe5jSabu4lXYyqcC5I*RuAWrb/IMG20150116WA0026001.jpg)
TRANSFOMA LALIPUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO ENEO LA MGOLOLO, IRINGA
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Nyumba ya DC, askari zateketea kwa moto