Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRANSFOMA LALIPUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO ENEO LA MGOLOLO, IRINGA

Wananchi wakishuhudia janga la moto uliozuka mara baada ya transfoma la kituo kikuu cha umeme Mgololo, Iringa kulipuka ghafla na kuteketea. Moto ukizidi kuteketeza transfoma hilo.
TRANSFOMA la kituo kikuu…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto

Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.CHANZO MICHUZI BLOG

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto

Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.
Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto

adveraNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.

Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.

Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba,  alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto

mngSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

JENGO LA JMC LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

Jengo la JMC likiwaka moto. Wananchi wakishuhudia moto…

 

10 years ago

GPL

WAPOTEZA MAISHA KWA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIIBA MAFUTA

TAARIFA zilizotufikia ni kwamba watu kadhaa wanadaiwa kupoteza maisha kwa kuungua na moto uliolipuka wakati wakichota mafuta kutoka kwenye lori lililopata ajali usiku wa kuamkia leo eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mtu aliyekuwa eneo la tukio ni kwamba watu hao walikuwa wakiiba mafuta baada ya lori lililokuwa limebeba shehena ya mafuta kupata ajali kabla ya kulipuka na kusababisha maafa hayo. Mpaka...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!

Na Haruni Sanchawa/Uwazi SIMULIZI ya vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto huko Kipunguni jijini Dar es Salaam wiki iliyopita inatisha, baada ya majirani kuanika ushuhuda waliousikia dakika chache kabla ya wapendwa hao kukata pumzi, Uwazi lina habari kamili. Nyumba iliyoteketea kwa moto na kusababisha vifo vya watu sita. Katika ajali hiyo, Kapteni mstaafu wa JWTZ, David Mpira, mkewe, watoto wao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Basi la kampuni ya Hajis lanusurika kuteketea kwa moto!

DSC02328

Picha mbalimbali juu na chini zikionyesha kikosi cha zima moto manispaa ya Singida,wakijitahidi kuzima moto uliosababishwa na kazi ya kuchomomelea basi la kampuni ya Hajis ya mkoani Singida.Viti na sehemu kubwa ya ndani, imeungua vibaya.Tukio hilo limwetokea katika gereji ya kampuni ya Hajis iliyopo eneo la Utemini mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC02318

DSC02316

DSC02313

 

10 years ago

GPL

MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

MSIKITI wa Hindu uliopo mtaa wa Kibasila eneo la Posta jijini Dar es Salaam, umenusurika kuteketea kwa moto baada ya kushika moto uliounguza baadhi ya vitu katika msikiti huo. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, chanzo cha moto huo ni hitilafu katika umeme.  

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani