Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.
Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.
Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Basi la kampuni ya Hajis lanusurika kuteketea kwa moto!
Picha mbalimbali juu na chini zikionyesha kikosi cha zima moto manispaa ya Singida,wakijitahidi kuzima moto uliosababishwa na kazi ya kuchomomelea basi la kampuni ya Hajis ya mkoani Singida.Viti na sehemu kubwa ya ndani, imeungua vibaya.Tukio hilo limwetokea katika gereji ya kampuni ya Hajis iliyopo eneo la Utemini mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto
Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.
11 years ago
GPLJENGO LA JMC LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2OP20hOaGxue-1eY3gcjHc0d7G1R-6wr2ltjkdei4SFafVVivKv9g5xobzc4jJh*dRziidbkyGdDe0377IC5ik/breakingnews.gif)
WAPOTEZA MAISHA KWA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIIBA MAFUTA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqeiGfekGbacjOyDRD8SOXJ1-SfucJBPrzGfP2IXw3P*L2dBLYQdcmzQ05gofw9ScH1uB4Ztv1C1ul8CSGGWodO/BACKUWAZI.jpg)
FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Jengo la Maliasili lanusurika kupigwa mnada
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi imetoa zuio la kutouzwa jengo la Ushirika wa Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii lililopo chini ya mradi wa shamba la miti la Rongai...
9 years ago
StarTV28 Aug
Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar
![Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2848032/highRes/1103963/-/maxw/600/-/liao55/-/pic+moto.jpg)
Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.
Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...