Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar
Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.
Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqeiGfekGbacjOyDRD8SOXJ1-SfucJBPrzGfP2IXw3P*L2dBLYQdcmzQ05gofw9ScH1uB4Ztv1C1ul8CSGGWodO/BACKUWAZI.jpg)
FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!
10 years ago
GPL18 Feb
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s72-c/download%2B%25283%2529.jpg)
FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s400/download%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4ZXslWH2Yc/VY6nv4vVhOI/AAAAAAAACRs/-iuHpOH2dLY/s400/rooneysoccer-friendly-international-champions-cup-final-liverpool-vs-manchester-united-850x560.jpg)
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
10 years ago
Vijimambo08 Feb
STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2616946/highRes/940476/-/maxw/600/-/1en0hm/-/Motto.jpg)