Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .

 Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.

Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!

Na Haruni Sanchawa/Uwazi SIMULIZI ya vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto huko Kipunguni jijini Dar es Salaam wiki iliyopita inatisha, baada ya majirani kuanika ushuhuda waliousikia dakika chache kabla ya wapendwa hao kukata pumzi, Uwazi lina habari kamili. Nyumba iliyoteketea kwa moto na kusababisha vifo vya watu sita. Katika ajali hiyo, Kapteni mstaafu wa JWTZ, David Mpira, mkewe, watoto wao...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto

mngSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

MSIKITI wa Hindu uliopo mtaa wa Kibasila eneo la Posta jijini Dar es Salaam, umenusurika kuteketea kwa moto baada ya kushika moto uliounguza baadhi ya vitu katika msikiti huo. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, chanzo cha moto huo ni hitilafu katika umeme.  

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO

 Sehemu ya wafanyakazi wa Kikosi zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini Jijini Dar es salaam leo.Moto huo ulianza majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo na kuteketeza kila kilichokuwepo katika eneo la soko hilo. Chanzo cha kutokea kwa moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa.Picha zote na Othman Michuzi.  Kazi ya kuzima moto ikiendelea.  Jitihada za kuuzima moto huo bado zinaendelea.  Moto bado unaendelea kuwaka mpaka wakati huu,huku...

 

10 years ago

Africanjam.Com

FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI

Ukifatilia vizuri washindi wa Ballon d’Or tuzo ya mchezaji bora wa dunia Michael Owen, Ronaldinho Gaucho na Ricaldo Kaka wote walikua wakivaa jezi namba 10.Moja ya kukua kwa umaarufu wa jezi no. 10 ni kuwahi kuvaliwa na wachezaji bora wa muda wote Ulimwenguni, Pele pamoja na Diego Armando Maradona. Pia wachezaji wanaowika sasa Lionel Messi, Neymar na Wayne Rooney wote wanavaa jezi namba 10.

Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Familia yateketea kwa moto Dar

Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Familia yateketea kwa moto jijini Dar

 “Yesu tuokoe, Yesu tuokoe”. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.

 

10 years ago

Vijimambo

STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR

Dar es Salaam. “Yesu tuokoe, Yesu tuokoe”. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.Kila aliyekuwepo kwenye eneo la tukio alikuwa ni mwenye simanzi, hasa waumini wenzake wa Kikristo kwakuwa jana (Jumamosi) ilikuwa ni zamu ya familia hiyo kuwa wenyeji wa sala ya pamoja ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani