MSIKITI WA HINDU, DAR WANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MSIKITI wa Hindu uliopo mtaa wa Kibasila eneo la Posta jijini Dar es Salaam, umenusurika kuteketea kwa moto baada ya kushika moto uliounguza baadhi ya vitu katika msikiti huo. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, chanzo cha moto huo ni hitilafu katika umeme. Â
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Moto wateketeza msikiti wa Hindu
MOTO umezuka juzi maeneo ya Olimpio kata ya Upanga na kuteketeza jengo la msikiti wa dhahabu la hindu ulioko katika mtaa huo na kuunguza vitu mbalimbali vilivyomo ndani yake. Akizungumza...
10 years ago
Mtanzania16 Jan
Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...
9 years ago
StarTV28 Aug
Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar
![Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2848032/highRes/1103963/-/maxw/600/-/liao55/-/pic+moto.jpg)
Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .
Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.
Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Jengo la Polisi lanusurika kuteketea kwa moto
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JENGO la Polisi Makao Makuu, jijini Dar es Salaam limenusurika kuteketea kwa moto baada ya kutokea hitilafu ya umeme katika jengo hilo.
Moto huo uliwashtua wafanyakazi wa polisi makao makuu ambao walikuwa wakikimbizana kutoka nje ili kunusuru maisha yao.
Akizungumzia tukio hilo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema moto huo ulianzia katika dari kwenye jengo la ghorofa ya nne ambao baada ya kuanza kuungua moto na moshi kuenea katika baadhi ya...
11 years ago
GPLJENGO LA JMC LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2OP20hOaGxue-1eY3gcjHc0d7G1R-6wr2ltjkdei4SFafVVivKv9g5xobzc4jJh*dRziidbkyGdDe0377IC5ik/breakingnews.gif)
WAPOTEZA MAISHA KWA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIIBA MAFUTA