Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI

Ukifatilia vizuri washindi wa Ballon d’Or tuzo ya mchezaji bora wa dunia Michael Owen, Ronaldinho Gaucho na Ricaldo Kaka wote walikua wakivaa jezi namba 10.Moja ya kukua kwa umaarufu wa jezi no. 10 ni kuwahi kuvaliwa na wachezaji bora wa muda wote Ulimwenguni, Pele pamoja na Diego Armando Maradona. Pia wachezaji wanaowika sasa Lionel Messi, Neymar na Wayne Rooney wote wanavaa jezi namba 10.

Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Fahamu kiundani tukio la Familia kuteketea kwa moto Dar

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya

Hii ni nyumba iliyoteketea kwa moto maeneo ya Buguruni Malapa .

 Watu tisa wa familia moja wameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huko Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam, mashuhuda wamethibitisha.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea Mtaa wa Ulam ambapo, bibi, watoto watatu wa kike na wajukuu watano waliokuwa wanaishi nyumba namba 40 wameteketea.

Mashuhuda wa tukio hilo wameliambia Mwanannchi Digital kuwa baba wa familia hiyo amenusurika kwa kuwa hakuwepo nyumbani, na kwamba...

 

9 years ago

Mtanzania

Beckham amtaka Depay asiogope jezi namba 7

960MANCHESTER, ENGLAND

NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United, David Beckham, amemtaka mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Memphis Depay, kuivaa jezi namba saba bila wasiwasi.

Beckham amemwambia kwamba hiyo ni jezi kama zilivyo jezi nyingine, lakini anatakiwa kuitendea haki kama ilivyo kwa wachezaji wengi waliopita ambao walivaa namba hiyo kama vile Beckham, George Best, Eric Cantona, Cristiano Ronaldo, Di Maria na wengine.

Beckham aliwahi kuivaa namba hiyo wakati anaitumikia klabu hiyo...

 

11 years ago

GPL

Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33

Shomari Kapombe. Hans Mloli na Musa Mateja
KIUNGO kiraka Shomari Kapombe, sasa mambo safi na amekamilisha kila kitu kurejea kucheza soka nchini na tayari amemalizana na klabu ya Azam FC na amekabidhiwa jezi yake kabisa. Imefahamika kuwa Kapombe amekubali kujiunga na Azam kutokana na kutokuwa katika maelewano mazuri na AS Cannes aliyojiunga nayo akitokea Simba, mwaka jana. Habari za uhakika, asilimia mia, Kapombe ameishavunja...

 

10 years ago

GPL

MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5

KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7

ad_178359848-e1446801336562

Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.

ad_178359848-e1446801336562

Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.

Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Albamu ya Justin Bieber ya 'Changes' yavunja rekodi kuwa namba moja

Albamu ya saba ya Justin Bieber ya 'Changes' imeibuka nambari moja kwenye chati ya Billboard na kupiku rekodi iliyowekwa na Elvis Preseley miaka 59 iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAMINI WA JEZI: Manchester United yaendelea kutesa duniani

Hivi karibuni Klabu ya Chelsea iliingia mkataba wa udhamini katika jezi za timu hiyo na kampuni ya matairi ya Yokohama ya Japan, hivyo kuwa kati ya timu mbili za juu barani Ulaya zenye udhamini mkubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza

Tehran. Mtu aliyetajwa kuwa mchafu kuliko wote duniani, Amou Haji (80) amesema anajisikia mpweka na sasa anahitaji mwenza wa kusihi naye.

 

10 years ago

GPL

FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani