Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYrvltUmOUgK4dzuBEoNi3vrOvmYM5-4xVlG8k9Lc36*SilZsMf*4g7mV47PxX3F78QLjAcytKmi3ciEyrTcMDt/kapombe.jpg?width=650)
Shomari Kapombe. Hans Mloli na Musa Mateja KIUNGO kiraka Shomari Kapombe, sasa mambo safi na amekamilisha kila kitu kurejea kucheza soka nchini na tayari amemalizana na klabu ya Azam FC na amekabidhiwa jezi yake kabisa. Imefahamika kuwa Kapombe amekubali kujiunga na Azam kutokana na kutokuwa katika maelewano mazuri na AS Cannes aliyojiunga nayo akitokea Simba, mwaka jana. Habari za uhakika, asilimia mia, Kapombe ameishavunja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZi0y21lV4tpyoVxvINGGzaiFW1JI5O4jEXgCdayqCJ-mWmrx4RUD6phKKAl9DiIIwtuxcq0ZSowF86PfsAe2TP/rojo.jpg?width=650)
MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3es23XbS7*OlceTWAgo*a9im3pZWnHT-lZYresjt1g13GXdpBpGkk6kTLgj3GLkNmR9VUbYncIv3Tgz61tJmrR/AZAM2.jpg?width=650)
Azam yamtangaza rasmi Kapombe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKECMZtCwOQaKIsDHIAPwccDbNaRzqx3SptmPrk9MaLH5TArWaCCAg0yCdefRojG3Vlge0AIMIQlxzU0sJpFsH9nk/zitto.jpg)
ZITTO RASMI ACT, APEWA KADI NAMBA 007194, KUONGEA NA WANAHABARI LEO
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Bocco apewa jezi kuiua Malawi
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Beckham amtaka Depay asiogope jezi namba 7
MANCHESTER, ENGLAND
NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United, David Beckham, amemtaka mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Memphis Depay, kuivaa jezi namba saba bila wasiwasi.
Beckham amemwambia kwamba hiyo ni jezi kama zilivyo jezi nyingine, lakini anatakiwa kuitendea haki kama ilivyo kwa wachezaji wengi waliopita ambao walivaa namba hiyo kama vile Beckham, George Best, Eric Cantona, Cristiano Ronaldo, Di Maria na wengine.
Beckham aliwahi kuivaa namba hiyo wakati anaitumikia klabu hiyo...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s72-c/download%2B%25283%2529.jpg)
FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s400/download%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4ZXslWH2Yc/VY6nv4vVhOI/AAAAAAAACRs/-iuHpOH2dLY/s400/rooneysoccer-friendly-international-champions-cup-final-liverpool-vs-manchester-united-850x560.jpg)
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Kapombe, Leonel waiua Azam Kagame
![Kikosi cha Azam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kikosi-cha-Azam.jpg)
Kikosi cha Azam
NA ZAITUNI KIBWANA, RWANDA
TIMU ya Azam FC jana imeaga Michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kutolewa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na timu ya El- Merreikh ya Sudan, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Nyamirambo, mjini hapa.
Mchezo huo ulifikia kuamuliwa kwa penalti baada ya timu hizo kwenda sare ya kutofungana ndani ya dakika tisini.
Wachezaji wa Azam waliopata penalti ni, Aggrey Morris, Didier Kavumbagu na Erasto Nyoni, huku Shomar Kapombe akipaisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0f*bLQR8y2Ao2P8cUdm7lPigepXNzJ5AKwe30jY2xHNK42wGABiBVFmNt4KrHnGWtVrJsyQCbmxWkIdsrsraGB/AZAM.gif?width=650)
AS Cannes yalia Kapombe kuzuiwa na Azam FC