Azam yamtangaza rasmi Kapombe
![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3es23XbS7*OlceTWAgo*a9im3pZWnHT-lZYresjt1g13GXdpBpGkk6kTLgj3GLkNmR9VUbYncIv3Tgz61tJmrR/AZAM2.jpg?width=650)
Kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe. Na Martha Mboma KLABU ya Azam, jana ilimtangaza rasmi kiungo wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe kuwa msimu ujao atavaa jezi zao. Kapombe aliondoka Simba na kujiunga na timu ya Daraja la Nne ya Ufaransa, As Cannes, lakini mwishoni mwa mwaka jana alitua nchini kuichezea Taifa Stars, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kugoma kurudi tena Ufaransa. Kapombe alizungumza mambo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYrvltUmOUgK4dzuBEoNi3vrOvmYM5-4xVlG8k9Lc36*SilZsMf*4g7mV47PxX3F78QLjAcytKmi3ciEyrTcMDt/kapombe.jpg?width=650)
Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Kapombe, Leonel waiua Azam Kagame
![Kikosi cha Azam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kikosi-cha-Azam.jpg)
Kikosi cha Azam
NA ZAITUNI KIBWANA, RWANDA
TIMU ya Azam FC jana imeaga Michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kutolewa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na timu ya El- Merreikh ya Sudan, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Nyamirambo, mjini hapa.
Mchezo huo ulifikia kuamuliwa kwa penalti baada ya timu hizo kwenda sare ya kutofungana ndani ya dakika tisini.
Wachezaji wa Azam waliopata penalti ni, Aggrey Morris, Didier Kavumbagu na Erasto Nyoni, huku Shomar Kapombe akipaisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0f*bLQR8y2Ao2P8cUdm7lPigepXNzJ5AKwe30jY2xHNK42wGABiBVFmNt4KrHnGWtVrJsyQCbmxWkIdsrsraGB/AZAM.gif?width=650)
AS Cannes yalia Kapombe kuzuiwa na Azam FC
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4TrxOEbZOhBLu5bHf6QEtDleCGU7byslLYC3nR1e0o7qQEmpw1t0xqYB6rfv-RXRKgV3icy343IpOfklIJ6dfijs/Mtatiro.jpg?width=650)
UKAWA YAMTANGAZA RASMI JULIUS MTATIRO KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SEGEREA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eZldegxOOoo/default.jpg)
11 years ago
GPLAZAM TV YAZINDULIWA RASMI
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Azam yamkaribisha Magufuli rasmi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsY*NzdpX3PpIAr8BHFkeoE98wR0LzG0vzn3You91v*Y4PUsEzSzD1XjfEtjv4lhk6F39XWsnNhZSHTIX8-ftDs/CHARLESHIRARY.jpg)
CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV