Msola: Kapombe hajakosea Azam
Baada ya kuwapo kwa taarifa za uhakika za beki Shomari Kapombe kujiunga Azam FC, kocha wa zamani wa Taifa Stars ametetea uamuzi wa mchezaji huyo kuwa amefanya uamuzi sahihi na muda mwafaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAzam yamtangaza rasmi Kapombe
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Kapombe, Leonel waiua Azam Kagame
Kikosi cha Azam
NA ZAITUNI KIBWANA, RWANDA
TIMU ya Azam FC jana imeaga Michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kutolewa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na timu ya El- Merreikh ya Sudan, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Nyamirambo, mjini hapa.
Mchezo huo ulifikia kuamuliwa kwa penalti baada ya timu hizo kwenda sare ya kutofungana ndani ya dakika tisini.
Wachezaji wa Azam waliopata penalti ni, Aggrey Morris, Didier Kavumbagu na Erasto Nyoni, huku Shomar Kapombe akipaisha...
11 years ago
GPLAS Cannes yalia Kapombe kuzuiwa na Azam FC
11 years ago
GPLKapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
11 years ago
GPLSHILOLE HAJAKOSEA, NDIVYO WALIVYO WABONGO!
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Msola alilia nyongeza ya bajeti
SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Prof. Msola: Wekezeni katika elimu
MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga
10 years ago
Habarileo05 Jan
DC ampigia debe Msola awamu nyingine ya ubunge
MKUU wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Gerald Guninita amempigia chapuo mbunge wa sasa wa jimbo la Kilolo, Profesa Peter Msolla akisema; “kwa kazi kubwa anazofanya,” kuwa anastahili kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa mbunge wa jimbo hilo, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.