DC ampigia debe Msola awamu nyingine ya ubunge
MKUU wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Gerald Guninita amempigia chapuo mbunge wa sasa wa jimbo la Kilolo, Profesa Peter Msolla akisema; “kwa kazi kubwa anazofanya,” kuwa anastahili kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa mbunge wa jimbo hilo, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Warioba ampigia debe mwanaye ubunge Kawe
11 years ago
Michuzi08 Mar
10 years ago
Mwananchi07 Apr
DC ampigia debe la urais Wasira
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fbvdtLSMPtMQAXEf7QkwVjK2pahH5g1WH-fkEBX51kjylC60IwLRIMPVPzAbRwMkk6LUSHRvHYYSV1akDhOpij/snura.jpg?width=650)
SNURA AMPIGIA DEBE DIAMIOND
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Silaa ampigia debe Mgimwa Kalenga
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/211.jpg)
JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Ben Mkapa ampigia Pinda debe kiaina
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ro7JjvJdCdM/VhZiH18bfHI/AAAAAAAH9y8/_NaO5xxm09g/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Mrema ampigia debe Dkt John Pombe Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-ro7JjvJdCdM/VhZiH18bfHI/AAAAAAAH9y8/_NaO5xxm09g/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3HvQBSZT9fk/VhZiLw9DunI/AAAAAAAH9zE/TB-r8DlbUIA/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4NIYUHog_-4/VhZiPP-y1fI/AAAAAAAH9zM/O7ipgvPRGkU/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)