Mrema ampigia debe Dkt John Pombe Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-ro7JjvJdCdM/VhZiH18bfHI/AAAAAAAH9y8/_NaO5xxm09g/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP Mhe. Augustino Lyatonga Mrema leo amesimamisha msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokutana nao maeneo ya Himo njia panda mkoani Kilimanjaro, na alipokaribishwa alimuombea kura za Urais Dkt. Magufuli huku yeye mwenyewe akijiombea kura kwa jimbo la Vunjo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-445jNRmaLQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s72-c/_MG_9616.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAWASILI JIJINI MWANZA MCHANA HUU KUHITIMISHA SHUGHULI ZA KAMPENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s640/_MG_9616.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xjg1B9W2y4U/Vit8VmFR28I/AAAAAAADBa8/15bUI61vpHw/s640/_MG_9625.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais ni Dkt. John Pombe Magufuli
Ni muda mfupi uliopita baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rasmi Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli aliyepata 58.46% dhidi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa 39.97%.
Modewji blog inatoa pongezi kwa Mgombea mweza Mama Samia Suluhu Hassan kwa ushindi huo.
Happy Birthday to you…. Mheshimiwa Rais uwe na siku njema ikiwa leo pia unasheherekea siku...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/b4qV2T8aleY/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12196141_1352402261440855_4065294366996546731_n.jpg)
HAPPY BIRTHDAY DKT. JOHN POMBE MAGUFULI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s72-c/1.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s400/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CmGrEC4kgrI/VaFhJFUpO0I/AAAAAAAHo3g/e0ZxnFmZpZ0/s400/95d388712d9d7c240b0646aafc4f2f69.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t12eDQxlARw/VaFhJKczhkI/AAAAAAAHo3k/HnCPBf_FG0Q/s400/Dr.AshaRoseMigiro.jpg)
Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n4ctQcqoAx4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-UYhnnIJW8Ac/VdyV8kQwGRI/AAAAAAACAFk/boAbmmYpUn4/s72-c/blogger-image-654306649.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APASUA ANGA SUMBAWANGA LEO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UYhnnIJW8Ac/VdyV8kQwGRI/AAAAAAACAFk/boAbmmYpUn4/s640/blogger-image-654306649.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-c1Ed50jU3gs/VdyWABkVNfI/AAAAAAACAFs/HXcCLTa8v5c/s640/blogger-image-1651567638.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NG5WoACqzaQ/VdyhsmPV9kI/AAAAAAACAF8/B4BXEfb4Zb8/s640/blogger-image--1903152272.jpg)
Nyomi iliyojitokeza kumsikiliza mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa michezo wa mji wa Sumbawanga