NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Balozi Amina Salum Ali
Dkt John Pombe Magufuli
Dkt Asha Rose Migiro.
Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM

11 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na Dkt Asha-Rose Migiro, balozi Aziz Mlima
9 years ago
Michuzi
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN IKULU DAR ES SALAAM LEO



10 years ago
Mwananchi11 Jul
Dk Magufuli,Migiro na Amina Salum Ali watinga tatu bora
>Halmashauri Kuu ya CCM imemaliza kikao chake na imewachagua Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina Salum Ali kuingia katika tatu bora.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Dk Magufuli, Dk Migiro na Balozi Amina Salum watinga tatu bora
Halmashauri Kuu ya CCM imemaliza kikao chake na imewachagua Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina Salum Ali kuingia katika tatu bora.
10 years ago
Michuzi
UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII




11 years ago
MichuziDKT. ASHA-ROSE MIGIRO ALIVYOPOKELEWA KWA FURAHA UMOJA WA MATAIFA
Ili kuwa ni hafla ya aina yake iliyojaa tabasamu, kukumbatiana na maneno ya " welcome back, good to see you again, we have missed you" yakitawala wakati Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa Dkt. Asha- Rose Migiro alipofika Ofisini kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon na kisha kukutana na kubadilishana mawazo na Katibu Mkuu mwenyewe wakianza na mazungumzo ya faragha kati yao wawili na kisha kujumuika na wafanyakazi wa Ofisi Binfasi ya Katibu Mkuu na Ofisi Binafsi ya...
11 years ago
Michuzi.jpg)
ZIARA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI ZIARANI SINGIDA NA DODOMA
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Waziri Dkt Asha-Rose Migiro atua nyumbani Mwanga kupokea wadhamini



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania