Maalim Seif akutana na Dkt Asha-Rose Migiro, balozi Aziz Mlima
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Dr. Asha Rose Migiro, alipofika nyumbani kwake Mbweni kwa ajili ya kutambulisha.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Dr. Asha Rose Migiro, alipofika nyumbani kwake Mbweni kwa ajili ya kutambulisha.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI



Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM
11 years ago
Michuzi.jpg)
Dkt. Shein aagana na Balozi wa Tanzania Malaysia Dkt. Aziz P. Mlima
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
SALMA MOSHI AZIDI KUTESA DAR AKUTANA NA MHE. ASHA-ROSE MIGIRO

11 years ago
MichuziDKT. ASHA-ROSE MIGIRO ALIVYOPOKELEWA KWA FURAHA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Michuzi
Dkt Asha-Rose Migiro apata wadhamini wa kutosha mkoani Kigoma leo

Katibu wa ccm wilaya ya Kigoma Novati Kibadi akimkabithi form Dkt. Migiro zenye majina 45 alizodhaminiwa na wakazi wa kigoma




10 years ago
Michuzi
Waziri Dkt Asha-Rose Migiro atua nyumbani Mwanga kupokea wadhamini



10 years ago
Michuzi
Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima awasilisha Hati za Utambulisho nchini Laos


11 years ago
Michuzi15 May