Dkt. Shein aagana na Balozi wa Tanzania Malaysia Dkt. Aziz P. Mlima
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPbgZXuFyBY/UwuHU6CRcRI/AAAAAAAFPRA/TBL6O_vXEBQ/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar mapema leo aliagana na Balozi wa Tanzania nchin Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima, Ikulu mjini Zanzibar. Balozi ametakiwa kukuza mahusiano mazuri yaliyopo kati nchi zetu mbili pamoja na zingine zinazowakilishwa na Ubalozi wa Tanzania Malaysia, zikiwepo Indonesia, Phillipines, Thailand, Laos, Cambodia na Brunei. Katika kukuza fursa za kiuchumi, uwekezaji, utalii na teknolojia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na Dkt Asha-Rose Migiro, balozi Aziz Mlima
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uYkqk2Snsoo/VOEC0at-5HI/AAAAAAAHD4Q/FO-35bJghAc/s72-c/unnamed.gif)
Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima awasilisha Hati za Utambulisho nchini Laos
![](http://1.bp.blogspot.com/-uYkqk2Snsoo/VOEC0at-5HI/AAAAAAAHD4Q/FO-35bJghAc/s1600/unnamed.gif)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pubOPc9Lwo/VOEC0BTuSnI/AAAAAAAHD4M/gzlj-75I1MM/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Dec
Dk Aziz Mlima ateuliwa Balozi Malaysia
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Aziz Ponary Mlima kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mhux8by_3ng/VL4ULmE28AI/AAAAAAAG-aI/ReN-e6A8Wjk/s72-c/unnamed.jpg)
DKT SHEIN AAGANA NA BALOZI WA URUSI ALIYEMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mhux8by_3ng/VL4ULmE28AI/AAAAAAAG-aI/ReN-e6A8Wjk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d2_vSEG34L0/VL4ULjgAcpI/AAAAAAAG-aY/_65NXYEE2lE/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TRRYCcFf9mo/VL4ULhmtehI/AAAAAAAG-aE/XaCEEuaOV1Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Botswana nchini Tanzania Ikulu Dar, akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-refwo5aCYIg/VO95uHmHmOI/AAAAAAAHGH4/uqXjCU72zsA/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Dkt. Aziz Ponary Mlima awasilisha Hati za Utambulisho kwa Sultan wa Brunei Darussalam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-refwo5aCYIg/VO95uHmHmOI/AAAAAAAHGH4/uqXjCU72zsA/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ballozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete. (Picha na OMR).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C9FXv9VAxXg/Vb8mM5JK1kI/AAAAAAAHthg/4ocVNqPLgjk/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MAMAKU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI SAUDI ARABIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C9FXv9VAxXg/Vb8mM5JK1kI/AAAAAAAHthg/4ocVNqPLgjk/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA BOTSWANA NCHINI,PIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANZA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lmm0fiL-JMY/VEjzJthOegI/AAAAAAAGs6M/SwBeA7Q-Qmc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0DAZLpXP_k/VEjzK1awnMI/AAAAAAAGs6c/eP8mY-ztSAo/s1600/2.jpg)