Dk Magufuli, Dk Migiro na Balozi Amina Salum watinga tatu bora
Halmashauri Kuu ya CCM imemaliza kikao chake na imewachagua Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina Salum Ali kuingia katika tatu bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Dk Magufuli,Migiro na Amina Salum Ali watinga tatu bora
>Halmashauri Kuu ya CCM imemaliza kikao chake na imewachagua Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina Salum Ali kuingia katika tatu bora.
10 years ago
Habarileo12 Jul
Magufuli, Balozi Amina, Migiro wapenya tatu bora
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya CCM waliokutana jana mjini hapa, walipigia kura majina matano ya wawania urais kupitia chama hicho, ambapo Dk John Magufuli, aliongoza na kufuatiwa na Balozi Amina Salum Ali na Dk Asha-Rose Migiro.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s72-c/1.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-lsvCvTGeXOc/VaFhIY2OeqI/AAAAAAAHo3c/KM1NUVC7sG8/s400/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CmGrEC4kgrI/VaFhJFUpO0I/AAAAAAAHo3g/e0ZxnFmZpZ0/s400/95d388712d9d7c240b0646aafc4f2f69.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t12eDQxlARw/VaFhJKczhkI/AAAAAAAHo3k/HnCPBf_FG0Q/s400/Dr.AshaRoseMigiro.jpg)
Pichani ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha CCM,yaliyopitishwa jioni ya leo na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM unaotarajiwa kufanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha CCM
10 years ago
TheCitizen11 Jul
Dr Magufuli, Dr Migiro, Amina Salum sail through
Dr John Magufuli, Dr Asha-Rose Migiro and Ms Amina Salum Ali have entered the last round of the CCM nomination race.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Historia ya Balozi Amina Salum Ali wa CCM
Chama tawala nchini Tanzania CCM kimemteua bi Amina Salum Ali kuwa mgombea mwenza wa daktari John Pombe Magufuli
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uroaeHEvAWw/VVyV2IoPcMI/AAAAAAAAT1I/tcbNUFjpdKU/s72-c/Amina%2BSalum%2BAli.jpg)
BALOZI AMINA SALUM ALI ATANGAZA KUWANIA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-uroaeHEvAWw/VVyV2IoPcMI/AAAAAAAAT1I/tcbNUFjpdKU/s640/Amina%2BSalum%2BAli.jpg)
Balozi Amina ametangaza uamuzi wake huo mapema leo hapa hapa jijini Dar es Salaam.Itakumbukwa ya kuwa Balozi Amina ambaye alidumu kwa muda mrefu kama waziri kwenye serikali ya Rais mstaafu wa...
9 years ago
VijimamboDIASPORA YA MONTGOMERY COUNTY YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
Bwn. Daniel Korona akisherehesha hafla futi ya kumuaga Balozi wa Umoja wa Afrika aliyemaliza muda wake Mhe. Amina Salum Ali iliyoandaliwa na Jumuiya ya Diaspora kutoka Afrika wanaoishi Montgomery county iliyofanyika siku ya Jumatano Sept 2, 2015 Silver Spring, Maryland.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uZrF4E5Nthk/VeVQp6sOY5I/AAAAAAAD5Lo/1OFxFyGvYzY/s72-c/2ccdc594102031db14b925ab8733afbb.jpg)
AFRICA UNION WAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI, WASHINGTON, DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-uZrF4E5Nthk/VeVQp6sOY5I/AAAAAAAD5Lo/1OFxFyGvYzY/s640/2ccdc594102031db14b925ab8733afbb.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLZipYT8mrQ/VeVQqDkFKoI/AAAAAAAD5Ls/tfP1kwvuyjk/s640/805304919b2d7a0b92eaa54c5dd50c46.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6z9mCDQgufo/VeVQq37MR1I/AAAAAAAD5L8/28BIdkmBSNM/s640/b08da26aeedb786b164e77a101683bff.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vzg-qYuc1q8/VeVQqoVirBI/AAAAAAAD5MU/t_Eb87Vz6O4/s640/a385d3ac54c18423e826db793d449962.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ag6E-NlF3II/VeVQqX3TziI/AAAAAAAD5L0/sUg_S_9klTw/s640/8798e2c97a11113976084dc8aa51a045.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania