Msola alilia nyongeza ya bajeti
SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Msola: Kapombe hajakosea Azam
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Prof. Msola: Wekezeni katika elimu
MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga
10 years ago
Habarileo05 Jan
DC ampigia debe Msola awamu nyingine ya ubunge
MKUU wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Gerald Guninita amempigia chapuo mbunge wa sasa wa jimbo la Kilolo, Profesa Peter Msolla akisema; “kwa kazi kubwa anazofanya,” kuwa anastahili kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa mbunge wa jimbo hilo, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Nyongeza ya posho yagonga mwamba
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara
10 years ago
Mtanzania02 May
TUCTA yadai nyongeza ya mishahara
Na John Maduhu, Mwanza
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.
Mgaya alisema...
11 years ago
Habarileo02 Mar
Ikulu yakanusha nyongeza ya posho
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Wafanyakazi TRL wadai nyongeza ya mshahara
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) wameanza mgomo baridi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh 200,000 hadi 300,000 kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Wakizungumza katika mkutano na...