Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msola alilia nyongeza ya bajeti

SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge  ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Msola: Kapombe hajakosea Azam

Baada ya kuwapo kwa taarifa za uhakika za  beki Shomari Kapombe kujiunga Azam FC, kocha wa zamani wa Taifa Stars ametetea uamuzi wa mchezaji huyo kuwa amefanya uamuzi sahihi na muda mwafaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Msola: Wekezeni katika elimu

MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars, Mshindo Msola amesema Simba ilitulia na ilikuwa na nguvu zaidi ya kushambulia wakati Yanga walipwaya upande wa walinzi wa pembeni kwa sababu ya presha wakati timu hizo zilipokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

Habarileo

DC ampigia debe Msola awamu nyingine ya ubunge

Profesa Peter MsollaMKUU wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Gerald Guninita amempigia chapuo mbunge wa sasa wa jimbo la Kilolo, Profesa Peter Msolla akisema; “kwa kazi kubwa anazofanya,” kuwa anastahili kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa mbunge wa jimbo hilo, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara

Rais wa Malawi na naibu wake waakhirisha kuongeza mishahara yao kwa sababu ya uchumi

 

10 years ago

Mtanzania

TUCTA yadai nyongeza ya mishahara

nmgayaNa John Maduhu, Mwanza

SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mgaya alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi TRL wadai nyongeza ya mshahara

WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) wameanza mgomo baridi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh 200,000 hadi 300,000 kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Wakizungumza katika mkutano na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani