Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara
Rais wa Malawi na naibu wake waakhirisha kuongeza mishahara yao kwa sababu ya uchumi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Wafanyakazi TRL wadai nyongeza ya mshahara
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) wameanza mgomo baridi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh 200,000 hadi 300,000 kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Wakizungumza katika mkutano na...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Nyongeza ya posho yagonga mwamba
10 years ago
Mtanzania02 May
TUCTA yadai nyongeza ya mishahara
Na John Maduhu, Mwanza
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.
Mgaya alisema...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Msola alilia nyongeza ya bajeti
SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya...
11 years ago
Habarileo02 Mar
Ikulu yakanusha nyongeza ya posho
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kenya:Walimu kupewa nyongeza ya asilimia 60
11 years ago
Mwananchi01 Mar
‘Tutaandamana JK akisaini nyongeza Bunge la Katiba’
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mtatiro akusanya saini kupinga nyongeza ya posho
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu Kenya