Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara

Rais wa Malawi na naibu wake waakhirisha kuongeza mishahara yao kwa sababu ya uchumi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi TRL wadai nyongeza ya mshahara

WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) wameanza mgomo baridi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh 200,000 hadi 300,000 kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Wakizungumza katika mkutano na...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Mtanzania

TUCTA yadai nyongeza ya mishahara

nmgayaNa John Maduhu, Mwanza

SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mgaya alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msola alilia nyongeza ya bajeti

SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge  ya...

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya:Walimu kupewa nyongeza ya asilimia 60

Walimu nchini Kenya wana kila la wanatarajiwa kupokea nyongeza ya mshahara kwa hadi asilimia 60.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tutaandamana JK akisaini nyongeza Bunge la Katiba’

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), limeazimia kuongoza maandamano kote nchini, kama Rais Jakaya Kikwete ataridhia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtatiro akusanya saini kupinga nyongeza ya posho

Mjadala wa nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, sasa umechukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe hao, Julius Mtatiro kuanza kukusanya saini za wajumbe wote wanaopinga nyongeza hiyo na kumwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kumuomba asiongeze kiasi chochote cha fedha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu Kenya

Korti ya Rufaa nchini Kenya imebatilisha nyongeza ya mishahara ya hadi asilimia 60 ambayo walimu wa serikali walikuwa wamepewa na mahakama ya chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani