Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi TRL wadai nyongeza ya mshahara

WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) wameanza mgomo baridi wakidai nyongeza ya mishahara kutoka sh 200,000 hadi 300,000 kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Wakizungumza katika mkutano na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara

Rais wa Malawi na naibu wake waakhirisha kuongeza mishahara yao kwa sababu ya uchumi

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi Tanzania China Friendship Ltd wagoma kwa kutolipwa  mshahara

 

Wafanyakazi zaidi ya elfu moja wa kiwanda cha Tanzania China Friendship Limited wamegoma kwa lengo la kudai stahili zao mbalimbali ikiwemo madai ya mshahara ambao hawajalipwa tangu mwaka 2008.

Wafanyakazi wa kiwanda hicho ambacho zamani kilijulikana kama kiwanda cha urafiki wamedai kukosa imani na uongozi uliopo kwani mbali na Tanzania kushirikiana na China katika uzalishaji bado matatizo yao hayajapatiwa ufumbuzi.

Wafanyakazi wa kiwanda cha urafiki ambao wamejikusanya mbele ya ofisi...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wanaohujumu TRL kukiona

CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli nchini (TRL) kimesema hakitokuwa tayari kumtetea mtu yeyote, atakayefanya vitendo vya ubadhirifu na kuihujumu Kampuni ya Reli nchini (TRL).

 

11 years ago

Mwananchi

Bunga la #Katiba: Wafanyakazi wadai haki ya kugoma

Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholaus Mgaya alidai kuwa rasimu inayowasilishwa bungeni kesho haijumuishi baadhi ya haki za msingi za wafanyakazi.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo

Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.

Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.

Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msola alilia nyongeza ya bajeti

SERIKALI imetakiwa kuongeza kiwango cha bajeti kinachotengwa kwenye utafiti kwa lengo la kukuza uchumi na maendeleo ya taifa. Hayo yalisema mjini hapa juzi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge  ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Mtanzania

TUCTA yadai nyongeza ya mishahara

nmgayaNa John Maduhu, Mwanza

SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mgaya alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani