Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BFT yagonga mwamba kwa Daba

>Uongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT) umegonga mwamba adhima yake ya kuuondoa madarakani uongozi wa Chama cha Ngumi Mkoa wa Dar es Salaam (Daba).

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba

Mazungumzo ya kutatua mzozo unaokumba Sudan Kusini yamegonga mwamba, saa kadhaa kabla ya UN kuwawekea makataa wanaohusika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Blatter ,Platini yagonga mwamba

Rufaa ya aliyekuwa Rais wa Fifa,Sepp Blatter na raisi wa Uefa Michel Platini zakataliwa

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtatiro akusanya saini kupinga nyongeza ya posho

Mjadala wa nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, sasa umechukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe hao, Julius Mtatiro kuanza kukusanya saini za wajumbe wote wanaopinga nyongeza hiyo na kumwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kumuomba asiongeze kiasi chochote cha fedha.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA

Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza mwanzoni mwa Mkutano wa Mwezi mmoja wa Wajumbe wa Kamati Maalum ya Usimamizi wa Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa, (C-34). Katika baadhi ya mambo aliyosititiza ni pamoja na kuangaliwa upya kwa posho ya kila siku wanayolipwa walinzi wa amani ambayo ni dola 1.28, posho ambayo imedumu kwa miaka 20 bila ya kufanyiwa mabadiliko. Mkutano huo unafanyika ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yagonga miaka 10

Je itafikisha miaka 11? Wataalamu wana shaka na hilo. Wewe je? Bado utahitaji Facebook mwaka ujao?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani