Nyongeza ya posho yagonga mwamba
>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Feb
BFT yagonga mwamba kwa Daba
>Uongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT) umegonga mwamba adhima yake ya kuuondoa madarakani uongozi wa Chama cha Ngumi Mkoa wa Dar es Salaam (Daba).
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba
Mazungumzo ya kutatua mzozo unaokumba Sudan Kusini yamegonga mwamba, saa kadhaa kabla ya UN kuwawekea makataa wanaohusika.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Rufaa ya Blatter ,Platini yagonga mwamba
Rufaa ya aliyekuwa Rais wa Fifa,Sepp Blatter na raisi wa Uefa Michel Platini zakataliwa
11 years ago
Habarileo02 Mar
Ikulu yakanusha nyongeza ya posho
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mtatiro akusanya saini kupinga nyongeza ya posho
Mjadala wa nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, sasa umechukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe hao, Julius Mtatiro kuanza kukusanya saini za wajumbe wote wanaopinga nyongeza hiyo na kumwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kumuomba asiongeze kiasi chochote cha fedha.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TGSjWseRR2g/UwxOWx5A5WI/AAAAAAAFPZA/Mwu-RkMKFcI/s72-c/unnamed+(24).jpg)
TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TGSjWseRR2g/UwxOWx5A5WI/AAAAAAAFPZA/Mwu-RkMKFcI/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Facebook yagonga miaka 10
Je itafikisha miaka 11? Wataalamu wana shaka na hilo. Wewe je? Bado utahitaji Facebook mwaka ujao?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania