Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtatiro akusanya saini kupinga nyongeza ya posho

Mjadala wa nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, sasa umechukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe hao, Julius Mtatiro kuanza kukusanya saini za wajumbe wote wanaopinga nyongeza hiyo na kumwandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kumuomba asiongeze kiasi chochote cha fedha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA

Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza mwanzoni mwa Mkutano wa Mwezi mmoja wa Wajumbe wa Kamati Maalum ya Usimamizi wa Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa, (C-34). Katika baadhi ya mambo aliyosititiza ni pamoja na kuangaliwa upya kwa posho ya kila siku wanayolipwa walinzi wa amani ambayo ni dola 1.28, posho ambayo imedumu kwa miaka 20 bila ya kufanyiwa mabadiliko. Mkutano huo unafanyika ...

 

11 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

GPL

Mavugo akusanya kijiji Zenji

Straika wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo. Na Richard Bukos, Zanzibar
WAKATI straika wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo, akitarajiwa kutua kambini visiwani hapa ndani ya siku mbili hizi, mashabiki wa klabu hiyo juzi walijitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Amaan kuhudhuria mazoezi ya kikosi hicho wakiamini Mrundi huyo angekuwepo uwanjani hapo. Lakini Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amelithibitishia Championi Jumatano kuwa,...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya akusanya wadhamini chini ya mti

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark MwandosyaMGOMBEA anayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu ujao, Profesa Mark Mwandosya amewataka wadhamini wake kutosikitika pale wanaposikia akibezwa kwa sababu amedhaminiwa na wanaCCM 30 waliowekwa kwa mujibu wa taratibu za chama.

 

11 years ago

GPL

MAJUTO AKUSANYA WANAWE KWENYE FILAMU

Stori: Imelda Mtema
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Amri  Athumani  ‘Mzee Majuto’ ameamua kuwakusanya wanawe wote na kuigiza nao katika filamu yake mpya. Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri  Athumani  ‘Mzee Majuto’. Akizungumzia sinema hiyo inayokwenda kwa jina la Chungu Kimoja, alitiririka:
“Mwanzoni nilijua mwanangu Hamza pekee ndiye anayeweza kumbe familia nzima bwana, kuanzia Mudi,...

 

10 years ago

Mtanzania

Mtatiro: Tutavunja makufuli

MtatiroMGOMBEA ubunge wa   Segerea, Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amesema atahakikisha wanavunja makufuli yote.

“ Naombeni wananchi tuseme Magufuli…no, in one…kwa miaka yote katika jimbo hili hakuna huduma muhimu ya maji, miundombinu..iwe jua au mvua barabara hazipitiki bado CCM wanataka tuwapeleke Ikulu haiwezekani,”alisema Mtatiro.

Alisema mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli alikuwa wizara inayoshughulika na ujenzi lakini matokeo yake ameshindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani