Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook yagonga miaka 10

Je itafikisha miaka 11? Wataalamu wana shaka na hilo. Wewe je? Bado utahitaji Facebook mwaka ujao?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake

Group  la Kandanda katika Mtandao wa Facebook tarehe 25/10/2014 litakuwa likitimiza miaka 4 tangu kuanzishwa ndani ya facebook.
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...

 

10 years ago

GPL

COASTER YAGONGA TRENI DODOMA

Basi la abiria aina ya Toyota Coaster likiwa limepinduka baada ya kuigonga treni. Taswira baada ya ajali hiyo. Wananchi wakiwa…

 

11 years ago

Mwananchi

Nyongeza ya posho yagonga mwamba

>Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

11 years ago

Mwananchi

BFT yagonga mwamba kwa Daba

>Uongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT) umegonga mwamba adhima yake ya kuuondoa madarakani uongozi wa Chama cha Ngumi Mkoa wa Dar es Salaam (Daba).

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba

Mazungumzo ya kutatua mzozo unaokumba Sudan Kusini yamegonga mwamba, saa kadhaa kabla ya UN kuwawekea makataa wanaohusika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Blatter ,Platini yagonga mwamba

Rufaa ya aliyekuwa Rais wa Fifa,Sepp Blatter na raisi wa Uefa Michel Platini zakataliwa

 

10 years ago

Michuzi

Gari yagonga Treni mkoani Morogoro leo

Taarifa ya ajali gari kugonga treni, leo tarehe 01/07/2015 majira ya 0730 gari no T. 837 CTM aina ya ISUZU Jouney mali ya FEISAL s/o HUWEL ikitokea Tindiga kwenda Morogoro ikiendeshwa na Bakari s/o Seleman 35yrs mkazi wa kilosa iligonga treni no 88u03 treni iliyokuwa ikitoka Morogoro kwenda Dodoma ikiendeshwa na Inea s/o Chipindula 48yrs mkaburu mkazi wa Morogoro ajali imesababisha vifo vya watu 4, (01)Salehe s/o Gombaike 35yrs mkutu, (02)Mama Husna 33yrs mzaramo mkazi mamoyo, (03)Sulat...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani