Gari yagonga Treni mkoani Morogoro leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-M1x81hCTpVM/VZQHClIuVoI/AAAAAAAHmPw/LENVvUPdmK8/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
Taarifa ya ajali gari kugonga treni, leo tarehe 01/07/2015 majira ya 0730 gari no T. 837 CTM aina ya ISUZU Jouney mali ya FEISAL s/o HUWEL ikitokea Tindiga kwenda Morogoro ikiendeshwa na Bakari s/o Seleman 35yrs mkazi wa kilosa iligonga treni no 88u03 treni iliyokuwa ikitoka Morogoro kwenda Dodoma ikiendeshwa na Inea s/o Chipindula 48yrs mkaburu mkazi wa Morogoro ajali imesababisha vifo vya watu 4, (01)Salehe s/o Gombaike 35yrs mkutu, (02)Mama Husna 33yrs mzaramo mkazi mamoyo, (03)Sulat...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFylL0WeBCd1NI2y3cydjY0zyxFbkPoBQP87C5UggzipA4k0Dxk0mrPAQSzsaePDEHxqnndYFEio1y*y7uoXI*uv/ajali1.jpg)
COASTER YAGONGA TRENI DODOMA
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s72-c/IMG_2739.jpg)
WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s1600/IMG_2739.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Abdul Bonge kuzikwa leo mkoani Morogoro
Mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, marehemu Abdul Shaban Tale Tale 'Abdu Bonge' anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao,Matombo mkoani Morogoro.
Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge akiwa maskani ya Tip Top Connection iliyopo Magomeni-Kagera alifuatwa na kijana mmoja na kuambiwa rafiki yake aitwaye Nassoro Idd alikuwa akipigana na mkewe hivyo aliagizwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KS7JQ5bf65o/VbIVieyz2TI/AAAAAAAHrcw/OY15_RcpiD8/s72-c/_MG_9811.jpg)
DK. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KWA WANANCHI, LEO YUPO MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-KS7JQ5bf65o/VbIVieyz2TI/AAAAAAAHrcw/OY15_RcpiD8/s640/_MG_9811.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xiB6oToG5tk/VbIVUKOFjqI/AAAAAAAHrcI/cb6VfnENrmU/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C1gVKwkr4B4/VbIWuNqPLTI/AAAAAAAHrd8/FejINSz5N_A/s640/_MG_0167.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziKIKAO CHA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI CHAANZA LEO MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ggKCCg1n4_w/VARwUcq-W7I/AAAAAAAGZ3s/hlfXMcCMLn8/s72-c/image.jpeg)
KIKAO KAZI CHA WATENDAJI WA SHIRIKA LA MAGEREZA NA GEPF CHAENDELEA LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ggKCCg1n4_w/VARwUcq-W7I/AAAAAAAGZ3s/hlfXMcCMLn8/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3hPL1wRPVbI/VARwVPbsw2I/AAAAAAAGZ30/kOGWCIVurxY/s1600/image_1.jpeg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10