GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM20 Jun
Semi-Trela likiwa limebeba kontena limeanguka baada ya kulielemea
Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani wa tani 7 tu au ni kiburi tu. Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli na jeshi lake wana kazi ya ziada kuhakikisha uzembe kama huu hautokei na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Maiti yabambwa na dawa za kulevya
JESHI la Polisi mkoani Morogoro limenasa kete 24 za dawa za kulevya kwenye mwili wa marehemu Khalid Abdul Kitala (47) mkazi jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu Kitala aliyekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B01.jpg)
WASAFIRISHAJI DAWA ZA KULEVYA WABUNI MBINU MPYA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B01.jpg)
Jafari Idd Mshana Mkazi Wa Dar Es Salaam (Wakwanza kulia ) anayetuhumiwa kusafirisha wahamiaji haramu,akiwa na wahamiaji hao Raia wa Ethopia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lq6lyZqtRg4/XlACbfYhKNI/AAAAAAALewM/vyYzejwwlPQ0UXImffy5SOjJU2wo_VUgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02.jpg)
Gari aina ya prado lililotumika kusafirishia dawa za kulevya aina ya Bhangi.
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Kutokana na msako mkubwa unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini waharifu wa makosa mbalimbali wakiwemo wasafirishaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya za kusafirisha wa dawa hizo,ambapo wanatumia Madumu ya lita 20 kama kifungashio cha kubebea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Zaidi ya miradi 50 yenye thamani ya Sh. 10.3 Bil. kupitiwa na Mwenge wa uhuru mkoani Morogoro
Na Andrew Chimesela – Morogoro
Mkoa wa Morogoro unatarijia kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Tanga Juni 15, 2015 ambao utakaopitia miradi ya Maendeleo 51 yenye thamani ya Shilingi 10,367,768,943 za kitanzania.
Ukiwa Mkoani Morogoro, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo ambazo ni Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero itakayopokea Mwenge kutoka Wilaya ya Kilindi, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri nyingine ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M1x81hCTpVM/VZQHClIuVoI/AAAAAAAHmPw/LENVvUPdmK8/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
Gari yagonga Treni mkoani Morogoro leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-M1x81hCTpVM/VZQHClIuVoI/AAAAAAAHmPw/LENVvUPdmK8/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Gari la uhamiaji lakamatwa na dizeli
GARI la uhamiaji mkoani Geita limekamatwa katika mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) likiwa na dizeli pamoja na kiroba cha mchanga. Siku chache zilizopita gari la kubeba wagonjwa katika Kituo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOBA6A33LRnghk4v8Hn6NWv9Woil95avHuY-9LGbOgKNw3Z-yoODWrVytiyXqEHsHnXv-*W1XNM52ORWYP2PnIw/gari.jpg)
GARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s72-c/IMG_2739.jpg)
WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s1600/IMG_2739.jpg)