GARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA
![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOBA6A33LRnghk4v8Hn6NWv9Woil95avHuY-9LGbOgKNw3Z-yoODWrVytiyXqEHsHnXv-*W1XNM52ORWYP2PnIw/gari.jpg)
Stori:Â Joseph Shaluwa MKURUGENZI wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela ameingia matatani baada ya gari lake aina ya Toyota Prado kukamatwa kwa ajili ya kupigwa mnada kutokana na kukabiliwa na madeni. Â Mkurugenzi wa Kampuni ya Ntyuka Security ya mjini Dodoma, Samwel Malecela. Samwel ni mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Mhe. John Malecela ambaye pia aliwahi kuwa mbunge katika Jimbo la Mtera kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Gari la uhamiaji lakamatwa na dizeli
GARI la uhamiaji mkoani Geita limekamatwa katika mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) likiwa na dizeli pamoja na kiroba cha mchanga. Siku chache zilizopita gari la kubeba wagonjwa katika Kituo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOsuyikhCijCd**YNku3J*PRUY1Xs5xMfMgw-0v1nifJvBg2KcMtlkqN3zhDF7ELpflVSk6N00tx3f1q8gEcym9/dude.jpg)
GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Gari la kigogo Bodi ya Kahawa lakamatwa Dar es Salaam
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VgqrCOVpWIo/VXUq0FmjabI/AAAAAAAAvUo/wZ-BNLEHrS4/s72-c/mwele.jpg)
Mtoto Wa John Malecela Ajitosa Kugombea Urais wa Tanzania Kupitia CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-VgqrCOVpWIo/VXUq0FmjabI/AAAAAAAAvUo/wZ-BNLEHrS4/s640/mwele.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.Dk Mwele kesho amepangiwa na CCM kuchukua fomu za kuomba kugombea urais. Ratiba ya CCM iliyotolewa jana Makao Makuu ya chama hicho mjini hapa inaonesha kuwa licha ya Dk Mwele, mwingine ambaye atachukua fomu hiyo kesho ni Nicholaus Mtenda ambaye pia amejitokeza kuomba kugombea urais kupitia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSqizsLqRXoehxRNGQbWCzWQYUY4D*eg5gGhepSFFgiv7f0FBZUZOi1W9jUZq3r3cjFynE8OKnjXfdZc3kgP7iwH/POLISI.jpg)
POLISI AMGONGA MTOTO, ATOKA NDUKI, ATELEKEZA GARI
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano apatikana akiendesha gari la mzazi wake Utah
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgJIXYLYOfNr6QbtLLQx7PJdkEqL4XqKl5JVXZpbVH-qsaS0kkPjCuiuE0C626rdLfj84CHDthKgKZalvFAb*jw/AJALI1.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA